ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,097
- 49,795
Habari zilizothibitishwa na Licha wa Madeama zinasema timu ya yake ilipowasili Tanzania ilinyimwa uwanja wa kufanya mazoezi Kwa siku 2 na maofisa wa Tanzania Ili kuwabeba Yanga hivyo Kushindwa kuwa fiti uwanjani.
Amesema hata walipotafuta uwanja wa kukodi,waliingiliwa na timu nyingine iliyodai ni uwanja wao na kwamba wao hawana taarifa.
My Take
Yanga kama kweli mlifanya Figisu hizi jiandaeni na Rungu la CAF
Amesema hata walipotafuta uwanja wa kukodi,waliingiliwa na timu nyingine iliyodai ni uwanja wao na kwamba wao hawana taarifa.
Medeama denied access to training venue ahead Yanga clash - Evans Adotey confirms
In the lead-up to the highly anticipated CAF Champions League clash against Young Africans of Tanzania, Medeama coach Evans Adotey has voiced his frustration, claiming that his team was denied access to the training venue.
mobile.ghanaweb.com
My Take
Yanga kama kweli mlifanya Figisu hizi jiandaeni na Rungu la CAF