Baada ya kazi...... burudiko

Nilimkaribisha chakula cha jioni ambacho nilikiandaa mie mwenyewe, kinywaji alitumia Martins na baada ya chakula tuliongea saana hadi saa 5 usiku kisha akarudi kwake. Ile gari ya zamani aliyinigonga nayo fundi wake alikuja kuichukua.

Kumbe mliongea zaidi na akala vya mwili na mvua!
Hapo sawa
 
Kumbe mliongea zaidi na akala vya mwili na mvua!
Hapo sawa

Chikundeeeeee heheheheheheeee

Wacha nicheke nifurahi Kasie mie.

Ever Smiling Kasie.
 



utakuwa kanigambiree


ilaaaa

 

Attachments

  • 385443_142786282493904_913524820_n.jpg
    16.8 KB · Views: 35
Huyo jamaa asipokugegeda narudi kijijini machame.
 
Huyo jamaa asipokugegeda narudi kijijini machame.

Usirudi bana baki hapa hapa bongo sasa hivi kuna baridi balaa hata AC siwashi na najifunika gubigubi na banketi. Ukirudi kwenu basi sichezi tena na wewe na napingua urafiki na wewe...............

Jamaa is handsome man..... nilikuwa nyoro nyoro baada ya kumuona..... lips zake sasa ndo hapo penye jiugonjwa langu heheheee.

Into be no longer my friend.😛😛

Ever Smiling Kasie.
 
Kasinde we we weeee... Mimi pia nafanana na huyo jamaa ukiniona unaweza kusema ni pacha! ni pm
 
Dah! Hii issue imewahi kumtokea hata Emeka Okechuku wa Nollywood una bahati sana
 
Kasinde we we weeee... Mimi pia nafanana na huyo jamaa ukiniona unaweza kusema ni pacha! ni pm

Hhahahahahaa oooh kumbe mmefanana hivyoo mmmhhh

Itabidi uje SA kunitembelea ili nihakikishe kama kweli mmefanana au lah. Maana jamaa yeye keshaniambia atakuja SA kunitembelea.

Ever Smiling Kasie.
 
Hhahahahahaa oooh kumbe mmefanana hivyoo mmmhhh

Itabidi uje SA kunitembelea ili nihakikishe kama kweli mmefanana au lah. Maana jamaa yeye keshaniambia atakuja SA kunitembelea.

Ever Smiling Kasie.
Ni-pm namba yako kesho nina safari ya huko hadi jmosi.
 
Kassie, kumbe ajali yenyewe ndo hii?
Huzuni…Familia ya Hoyce yanusa kifo ajalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…