Baada ya kazi...... burudiko

Kuna maswali kadhaa ambayo ningeomba unipe majibu yake Kasie.

Kwanza hongera kwa kuzaliwa, nitakuletea kichupa cha kunyonyea.
Asante kwa pongezi na zawadi, ntakiweka kabatini kama kumbukumbu ya zawadi yako ya siku ya kuzaliwa.

Umesema Wiki iliyopita ulikuwa Dar, hii inamaanisha wewe siyo mwenyeji wa Dar lakini mpaka unaleta huu uzi bado huko dar kwa nini umetumia haya maneno? "nilikuwa Dar"

Yeah tangu wiki iliyopita nilikuwa Dar, na huwa ninakuwa kila nipatapo off na likizo. Kikazi ninaishi nje ya Dar ma kwakuwa huku ndo nyumbani basi nipatapo mwanya huwa najiskia raha kujidai maeneo ya numbani maana hata kampani ya kwenda kupopo iko Dar, hata crush nyingi nazipata Dar.

Kumbe bado huko Dar?

Ndio bado niko Dar.

Hii inaonyesha kuwa wewe siyo mfuatiliaji mzuri wa vitu vyako, inakuwaje usigundue kuwa huna leseni yako.

Kiuhalisia leseni huwa siitumiagi hata kidogo japo huwa natemea nayo popote niendapo, labda nisimamishwe na askari wa barabarani na aniulize kuiona leseni yangu. Hapo ndo naweza ona kama ninayo au sina kwa kuingalia kwenye kipochi ninachoweka.
Ingekuwa kadi ya benki ningegundua siku ile ile maana matumizi yangu mengi nafanyaga kwa kadi.

Hapa kuna kitu kingine muhimu hukukiandika lakini sisi wa 40+ tunajua.

Mueleweshe na @GeneralGaladudu pia maana haelewiiii
Mwisho nikupongeze tena kwa siku yako ya kuzaliwa... happy birthday Kasinde.

Asante tena kwa pongezi, natumai umeelewa na maswali yako yamepata majibu.

Kasie.
 
Kama umefunika kombe mwanaharamu apite basi hata mimi mwakani panapo majaaliwa nitakupa zawadi maalumu ya birthday ili tufunike kombe au unaonaje
 
Fiction!! Mambo ya Tin number na ishu zingine za ownership hazikuhusika hapa kabisa
 
Kama umefunika kombe mwanaharamu apite basi hata mimi mwakani panapo majaaliwa nitakupa zawadi maalumu ya birthday ili tufunike kombe au unaonaje

Hhahahahaaa nmuogopa mkeo asijenitegeshea kwa rafiki yake kama aavokufanyiaga wewe.

Kasie.
 
Asante kwa majibu yako mujarabu, uko vizuri kwenye kujibu hoja, nimeridhika na majibu.
 
Asante kwa majibu yako mujarabu, uko vizuri kwenye kujibu hoja, nimeridhika na majibu.

Feregudi.... velkam

Your satisfaction is my appreciation.

Kasie.
 
Feregudi.... velkam

Your satisfaction is my appreciation.

Kasie.
"My satisfaction is your appreciation" haya maneno nimeyapenda.
Nilichogundua Galadudu ni dot com hata vile viatu vya chachacha havijui.
 
Hhahahahaaa nmuogopa mkeo asijenitegeshea kwa rafiki yake kama aavokufanyiaga wewe.

Kasie.
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaa. .......nilimkalisha kitako nikamuelewesha kwa kirefu ukubwa wa madhara anayoweza kuleta endapo ataendekeza tabia za kujipa kibarua kigumu cha kunichunguza, nikamtaka tu awe na amani na ajue kwamba yeye ni mke wangu na mi ndo mume wake.....alinielewa na kwa sasa ni raha mustarehe wala hana mpango wa kutegesheana kwa rafiki zake.....kwa hiyo usihofu juu ya kuwekewa mtego
 
"My satisfaction is your appreciation" haya maneno nimeyapenda.
Nilichogundua Galadudu ni dot com hata vile viatu vya chachacha havijui.

Karibuu....

Galadudu huyu ni mchokozi tuu nshamstukia.
 

Hahahahaa mie kunguru muoga bana nakimbiza mbawa zangu mbiooo
 
Mbona hapa sielewi elewi, movie si movie, ndoto si ndoto, ni nn hii mbona sielewi, Yaani ww umetoa leseni yako alafu hujashtuka mpaka jamaa alipokuja kukupa
 
Message nzuri sana nimeipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…