zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,622
Mama Salma naye anadai lipi?
Rz 1 atalia na kusaga meno JK atakapoondoka.
Hawa wanaomuunga mkono Rz 1 ni njaa tu zinawasumbua watamgeuka vibaya mtajionea.
hapo kwenye red sidhani coz hawa watu wanalindwa na mfumo waliojiwekea