Watanzania wapenda mabadiliko asalamu aleikum!
Baada ya kukutana na makamanda wenyeviti na makatibu wote wa Tanzania bara na visiwani (CDM) na kubadilishana nao mawazo, hapa nitaweka mawazo yangu na yale ya baadhi ya makamanda.
1. Kwa sura na uwezo wa wajumbe toka Zanzibar nimepata picha kuwa chama chetu ni dhaifu kuliko hata nilivyofikria kabla kwa upande wa Zanzibar.
2.Chama chetu hakina wananawake imara sana kwa nafasi za kwa nafasi za wenyeviti na makatbu wa mikoa, hapa nazungumzia akina mama kama Suzani Kiwanga ( Moro) na Chiku Abwao (Iringa). Unahitajika mkakati maalum wa kuwshirikisha wanawake katika harakati za chama.
3.Katika moja ya vikao vya ndani ilithibitika kuwa kuna wagombea majimboni ambao tayari wameonyesha nia na sehemu nyingine wameanza harakati za kutoa chochote kukamata majimbo hayo na kuhatarisha umoja wa chama.
Dr Slaa akasema acha waendelee ila muda ukifika wasije kulaumu! Tutafute dawa mapema.
3.M4C ndiyo siraha muhimu kuipeleka CDM madarakani. Operesheni ndogo kama ya Karagwe nilimuona Dr Slaa amesimama kwa zaidi ya saa moja baada ya mkutano kusaini kadi za wanachama wapya. Walipopita makamanda mpaka leo bado bendera zinapepea, hamasa ni kubwa sana . Utengenenezwe mkakati wa haraka wa kupita mikoa yote ambapo m4c haijapita. Muda hauko upande wetu!
4. Mkakati maalum wa watu kujiandikisha katika daftari la kudumu na vitambulisho vya taifa uandaliwe mapema sana na usambazwe nchi nzima na ikibidi uwe wa siri maana kuna hajuma inaandaliwa kutuhujumu kwenye vitambulisho vya taifa.
Nikipata nafasi nitakuja na mapendekezo mengine.
Nawashilisha!
Baada ya kukutana na makamanda wenyeviti na makatibu wote wa Tanzania bara na visiwani (CDM) na kubadilishana nao mawazo, hapa nitaweka mawazo yangu na yale ya baadhi ya makamanda.
1. Kwa sura na uwezo wa wajumbe toka Zanzibar nimepata picha kuwa chama chetu ni dhaifu kuliko hata nilivyofikria kabla kwa upande wa Zanzibar.
2.Chama chetu hakina wananawake imara sana kwa nafasi za kwa nafasi za wenyeviti na makatbu wa mikoa, hapa nazungumzia akina mama kama Suzani Kiwanga ( Moro) na Chiku Abwao (Iringa). Unahitajika mkakati maalum wa kuwshirikisha wanawake katika harakati za chama.
3.Katika moja ya vikao vya ndani ilithibitika kuwa kuna wagombea majimboni ambao tayari wameonyesha nia na sehemu nyingine wameanza harakati za kutoa chochote kukamata majimbo hayo na kuhatarisha umoja wa chama.
Dr Slaa akasema acha waendelee ila muda ukifika wasije kulaumu! Tutafute dawa mapema.
3.M4C ndiyo siraha muhimu kuipeleka CDM madarakani. Operesheni ndogo kama ya Karagwe nilimuona Dr Slaa amesimama kwa zaidi ya saa moja baada ya mkutano kusaini kadi za wanachama wapya. Walipopita makamanda mpaka leo bado bendera zinapepea, hamasa ni kubwa sana . Utengenenezwe mkakati wa haraka wa kupita mikoa yote ambapo m4c haijapita. Muda hauko upande wetu!
4. Mkakati maalum wa watu kujiandikisha katika daftari la kudumu na vitambulisho vya taifa uandaliwe mapema sana na usambazwe nchi nzima na ikibidi uwe wa siri maana kuna hajuma inaandaliwa kutuhujumu kwenye vitambulisho vya taifa.
Nikipata nafasi nitakuja na mapendekezo mengine.
Nawashilisha!