Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Njia sita za kutibu majeraha yatokanayo na maumivu ya kumfumania mpenzi wako..................
1) MUDA...................ndiyo tiba nambari moja............wahenga waliposema wakati ukuta walijua walichoongea.................
2) UWAZI....................Unapoona mpenziyo mkosefu yupo tayari kuungama yote ujue ana nia ya dhati ya kutubu na kujirekebisha na uwezekano wa kurudia lilelile kosa ni mdogo..........................................
3) UPAMOJA.........................Zifanyike jitihada za wazi na makusudi muwe na shughuli za pamoja zinazowaleta karibu ikiwemo kuimarisha mawasiliano kati yenu...........................................
4) USIWE UNAKUMBUSHIA KUMBUSHIA KILA MARA ...........................Kwenye hili akina mama ndiyo magwiji wa kukumbushia yale yaliyowaudhi bila ya kujua wanatonesha vidonda na yawezekana kabisa wakamkatisha mpenzi wako ambaye ana nia kabisa ya kujirekebisha.............................kwa hiyo kumsonya baada ya kukiri na kuahidi kujirekebisha ni kukaribisha dhoruba litokanalo na kukatishwa tamaa..................
Kumbukeni yaliyopita si ndwele........................................
5) WAKWEPE WABAYA WAKO.................Wale wote waliokutia majaribuni ndiyo wabaya wako na ni busara ukakaa nao mbali kwa nia njema tu ya kuimarisha mahusiano yako na wandani wako.........Kumbuka bila ya kujitoa mhanga hakuna mafanikio..........na hakuna jema litakalo jijenga lenyewe bila ya kupaliliwa na kumwagiliwa penzi la mara kwa mara.......................................
6) Hili itabidi nilirudie tena...............................MUDA NI jibu la kudumu.........kadri muda unavyoyoyoma na vidonda vya kimoyo navyo hupata hahueni ya kutosha................hivyo usisahau ya kuwa SUBIRA YAVUTA FARAJA.................
Have your say on this tricky subject.......................
1) MUDA...................ndiyo tiba nambari moja............wahenga waliposema wakati ukuta walijua walichoongea.................
2) UWAZI....................Unapoona mpenziyo mkosefu yupo tayari kuungama yote ujue ana nia ya dhati ya kutubu na kujirekebisha na uwezekano wa kurudia lilelile kosa ni mdogo..........................................
3) UPAMOJA.........................Zifanyike jitihada za wazi na makusudi muwe na shughuli za pamoja zinazowaleta karibu ikiwemo kuimarisha mawasiliano kati yenu...........................................
4) USIWE UNAKUMBUSHIA KUMBUSHIA KILA MARA ...........................Kwenye hili akina mama ndiyo magwiji wa kukumbushia yale yaliyowaudhi bila ya kujua wanatonesha vidonda na yawezekana kabisa wakamkatisha mpenzi wako ambaye ana nia kabisa ya kujirekebisha.............................kwa hiyo kumsonya baada ya kukiri na kuahidi kujirekebisha ni kukaribisha dhoruba litokanalo na kukatishwa tamaa..................
Kumbukeni yaliyopita si ndwele........................................
5) WAKWEPE WABAYA WAKO.................Wale wote waliokutia majaribuni ndiyo wabaya wako na ni busara ukakaa nao mbali kwa nia njema tu ya kuimarisha mahusiano yako na wandani wako.........Kumbuka bila ya kujitoa mhanga hakuna mafanikio..........na hakuna jema litakalo jijenga lenyewe bila ya kupaliliwa na kumwagiliwa penzi la mara kwa mara.......................................
6) Hili itabidi nilirudie tena...............................MUDA NI jibu la kudumu.........kadri muda unavyoyoyoma na vidonda vya kimoyo navyo hupata hahueni ya kutosha................hivyo usisahau ya kuwa SUBIRA YAVUTA FARAJA.................
Have your say on this tricky subject.......................