Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 536
Duh Mzee hili halikuwa hata la wewe kusuburi mpaka wana JF wakushauri huyu ukimwacha tu hivi hivi atakuwa winner mtafute mchape vibao na umwambie kila atapokuwa akikuona akupishe njia otherwise kila ukimwona mchape vibao na huyo mtoto si wako unadanganywa.