PostGE2025 Baada ya Dkt. Mwigulu Nchemba kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu, bashiri Baraza la Mawaziri litakavyokuwa

PostGE2025 Baada ya Dkt. Mwigulu Nchemba kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu, bashiri Baraza la Mawaziri litakavyokuwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Leo Novemba 13, 2025, Dkt. Mwigulu Nchemba ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Waziri Mkuu wa JMT. Kama ilivyo ada, anapoteuliwa Waziri Mkuu ndio mwanzo wa kuunda Baraza la Mawaziri ili kumsaidia Rais.

Soma > Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mpaka leo, tuna Wizara hai 22 ambazo zina Mawaziri na Manaibu Waziri.

Je, unadhani Baraza la Mawaziri litakuwa na Mawaziri gani?
Je, tutarajie Wizara kuongezwa au kupunguzwa?

  1. Wizara ya Fedha (Ministry of Finance)
  2. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (Ministry of Defence and National Service)
  3. Wizara ya Mambo ya Ndani (Ministry of Home Affairs)
  4. Wizara ya Katiba na Mambo ya Sheria (Ministry of Constitutional and Legal Affairs)
  5. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Ministry of Foreign Affairs & East African Cooperation)
  6. Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika (Ministry of Agriculture, Food Security & Cooperatives)
  7. Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Ministry of Livestock & Fisheries)
  8. Wizara ya Ardhi, Makazi na Maendeleo ya Makazi (Ministry of Lands, Housing & Human Settlements Development)
  9. Wizara ya Rasilimali za Asili na Utalii (Ministry of Natural Resources & Tourism)
  10. Wizara ya Nguvu na Madini (Ministry of Energy & Minerals)
  11. Wizara ya Viwanda na Biashara (Ministry of Industry & Trade)
  12. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Ministry of Education, Science & Technology)
  13. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Ministry of Health, Community Development, Gender, Elders & Children)
  14. Wizara ya Ujenzi (Ministry of Works)
  15. Wizara ya Usafirishaji (Ministry of Transport)
  16. Wizara ya Maji (Ministry of Water)
  17. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Ministry of Information, Culture, Arts & Sports)
  18. Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Ministry of Public Service Management & Good Governance)
  19. Wizara inayoshughulikia Mkoa na Serikali za Mitaa (Ministry of Regional Administration & Local Government)
  20. Wizara ya Mpango na Uwekezaji (Office/Ministry of Planning & Investment)
  21. Ofisi ya Makamu wa Rais (Masuala ya Umoja wa Muungano na Mazingira) (Vice-President’s Office – Union Affairs & Environment)
  22. Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uzazi wa Ajira) (Prime Minister’s Office – Policy, Parliamentary Affairs & Coordination; Labour, Youth, Employment & Persons with Disability)
 
GT

Za ndani ndani huko na habari za barabarani japo siyo rasimi.

1. Makondo waziri wa ulinzi
2. Kabudi katiba na sheria
3. Lukuvi nishati
4. Biteko Maliasili
5 Bashiru Muungano na.Mazingira
6. Kikwete utawala bora
7 Nape Habari
8..Maji aweso
9. Ujenzi ulega.
10. Usafirishaji Kadogosa
11. Mkenda Elimu
12. Jinsia na watoto Doroty
13. Fedha ( Mbunge wa kuteuliwa na Rais simkubuki jina).
14. Tulia Ackson-Kilimo
15. Mkumbo-mipango na uwekezaji

Etc etc

Tusubiri
 
GT

Za ndani ndani huko na habari za barabarani japo siyo rasimi.

1. Makondo waziri wa ulinzi
2. Kabudi katiba na sheria
3. Lukuvi nishati
4. Biteko Maliasili
5 Bashiru Muungano na.Mazingira
6. Kikwete utawala bora
7 Nape Habari
8..Maji awesome
9. Ujenzi ulega.
10. Usafirishaji Kadogosa
11. Mkenda Elimu
12. Jinsia na watoto Doroty
13. Fedha ( Mbunge wa kuteuliwa na Rais simkubuki jina)

Etc etc

Tusubiri
Dk juma homera hayumo,ni uwongo
 
GT

Za ndani ndani huko na habari za barabarani japo siyo rasimi.

1. Makondo waziri wa ulinzi
2. Kabudi katiba na sheria
3. Lukuvi nishati
4. Biteko Maliasili
5 Bashiru Muungano na.Mazingira
6. Kikwete utawala bora
7 Nape Habari
8..Maji aweso
9. Ujenzi ulega.
10. Usafirishaji Kadogosa
11. Mkenda Elimu
12. Jinsia na watoto Doroty
13. Fedha ( Mbunge wa kuteuliwa na Rais simkubuki jina).
14. Tulia Ackson-Kilimo
15. Mkumbo-mipango na uwekezaji

Etc etc

Tusubiri
Hivi huyo makonda huwa mnampaisha kwa kipi hasa?
 
Unatarajia nini kutoka kwa watu ambao hata uhai wako hawauthamini?! Kati ya wote mnaotaja majina yao nani anaweza kusimama upande wa wananchi.
 
Leo Novemba 13, 2025, Dkt. Mwigulu Nchemba ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Waziri Mkuu wa JMT. Kama ilivyo ada, anapoteuliwa Waziri Mkuu ndio mwanzo wa kuunda Baraza la Mawaziri ili kumsaidia Rais.

Soma > Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mpaka leo, tuna Wizara hai 22 ambazo zina Mawaziri na Manaibu Waziri.

Je, unadhani Baraza la Mawaziri litakuwa na Mawaziri gani?
Je, tutarajie Wizara kuongezwa au kupunguzwa?

  1. Wizara ya Fedha (Ministry of Finance)
  2. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (Ministry of Defence and National Service)
  3. Wizara ya Mambo ya Ndani (Ministry of Home Affairs)
  4. Wizara ya Katiba na Mambo ya Sheria (Ministry of Constitutional and Legal Affairs)
  5. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Ministry of Foreign Affairs & East African Cooperation)
  6. Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika (Ministry of Agriculture, Food Security & Cooperatives)
  7. Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Ministry of Livestock & Fisheries)
  8. Wizara ya Ardhi, Makazi na Maendeleo ya Makazi (Ministry of Lands, Housing & Human Settlements Development)
  9. Wizara ya Rasilimali za Asili na Utalii (Ministry of Natural Resources & Tourism)
  10. Wizara ya Nguvu na Madini (Ministry of Energy & Minerals)
  11. Wizara ya Viwanda na Biashara (Ministry of Industry & Trade)
  12. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Ministry of Education, Science & Technology)
  13. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Ministry of Health, Community Development, Gender, Elders & Children)
  14. Wizara ya Ujenzi (Ministry of Works)
  15. Wizara ya Usafirishaji (Ministry of Transport)
  16. Wizara ya Maji (Ministry of Water)
  17. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (Ministry of Information, Culture, Arts & Sports)
  18. Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Ministry of Public Service Management & Good Governance)
  19. Wizara inayoshughulikia Mkoa na Serikali za Mitaa (Ministry of Regional Administration & Local Government)
  20. Wizara ya Mpango na Uwekezaji (Office/Ministry of Planning & Investment)
  21. Ofisi ya Makamu wa Rais (Masuala ya Umoja wa Muungano na Mazingira) (Vice-President’s Office – Union Affairs & Environment)
  22. Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uzazi wa Ajira) (Prime Minister’s Office – Policy, Parliamentary Affairs & Coordination; Labour, Youth, Employment & Persons with Disability)
Kuna LIDIKTETA LIMOJA bungeni HALIFAI hata kuwa mkuu wa wilaya achana na unaibu waziri.
 
Hivi haya matakataka ya vyeo bado yanajadiriwa badala ya kuombolezea watu waliokufa na kutafuta suluhisho la amani ya kudumu na si uvumilivu
 
GT

Za ndani ndani huko na habari za barabarani japo siyo rasimi.

1. Makondo waziri wa ulinzi
2. Kabudi katiba na sheria
3. Lukuvi nishati
4. Biteko Maliasili
5 Bashiru Muungano na.Mazingira
6. Kikwete utawala bora
7 Nape Habari
8..Maji aweso
9. Ujenzi ulega.
10. Usafirishaji Kadogosa
11. Mkenda Elimu
12. Jinsia na watoto Doroty
13. Fedha ( Mbunge wa kuteuliwa na Rais simkubuki jina).
14. Tulia Ackson-Kilimo
15. Mkumbo-mipango na uwekezaji

Etc etc

Tusubiri
Hivi wewe unakili kweli yaani kutoka uspika wa bunge hadi kuwa waziri?
 
Back
Top Bottom