Baada ya Chacha Wangwe kufariki, CHADEMA imekufa Tarime?

Baada ya Chacha Wangwe kufariki, CHADEMA imekufa Tarime?

Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?

Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.

Hivi mamlaka ya mji was Tarime ambapo ndipo kitovu cha wilaya inaongozwa na chama kipi? majibu tafadhali
 
mimi nimeona dalili tu
Asante sana Pascal Ndege kwa mada uliyoianzisha kwa kudai umeona dalili za Chadema kufa Tarime. Ni majuzi tu chaguzi za mitaa zimefanyika; sasa kwa kuwa umefanya tathmini ukakuta Chadema inakufa, naomba utujuze je wakati wa Wangwe Chadema ilikuwa imekamata mitaa mingapi na hivi leo ina mitaa mingapi huko Tarime. Huo ndio utakuwa uungwana...ukianzisha mada unaambatanisha na takwimu. Matokeo ya Musoma tuliletewa humu yakionesha Chadema inazidi kuchanja mbuga hivyo tafadhali tusaidie japo kidogo kwa kutoa ushahidi kwa madai yako.
 
Kwani Chacha wangwe alikuwa asife nini? yeye kafa watu wengine wanaendelea hata wewe na mimi tutakufa na maisha yataendelea. Kafa Nyarere na watu ndiyo wanapiga hela kama wamelongwa mil.10 watu ni mboga bwana.
 
wanaoiua chadema tarime ni chadema wenyewe kila mmoja anataka kugombea sasa hivi heche na mwita mwikabe wote wanataka wagombee matokeo yake wanagawa kura
 
Idara ya Lema hiyo alisomea hadi dr la saba Ngarenalo
 
Back
Top Bottom