Baada ya Chacha Wangwe kufariki, CHADEMA imekufa Tarime?

Baada ya Chacha Wangwe kufariki, CHADEMA imekufa Tarime?

Unaifahamu tarime kweli wewe? Njoo tarime ujionee kama ccm ina chake hapa
 
Tarime yupo kamanda wangu wa ukweli John Heche na mwaka huu utapata jibu la swali lako.


UKOMBOZI KWANZA DEMOKRASIA BADAE
 
Kwani lazima kutumia lugha za kuudhi ili uonekane mpenda chama jibuni hoja..mtu akitofautiana kimtazamo na nyinyi ni kibaraka hata maana ya kibaraka hujui shuwain weee..l
Mpuuzi mwingine huyu hapa! Ni Kibaraka wa Magamba! Maarufu kama MAFISADI. Yaani nyie CCM hata Propaganda hamjui siku hizi. Hebu nendeni shule mkasomee mambo ya propaganda
 
Unaisi CDM ikifa Tarime nani mwenye hasara?
 
Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?

Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.

Hii nayo ni mada au mazungumzo baada ya habari?
 
Mkuu mbona umechelewa kulijua hlo? Chacha Wangwe kafa na CDM yake
 
Mnakazi kubwa sana mwaka huu ya kutetea chama kilichojaa ukabila, ukanda na ubaguzi wa kila aina sijui kama mtafanikiwa.
wakwere wakipata mshiko basi watakaa chini kutoa funza miguuni hakuna cha kufikiri mumejazana CCM duh
 
Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?

Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.

Naona una fikra mfu,subiri kimbunga kinakuja utajificha chini ya kwapa.
 
Back
Top Bottom