Baada ya Chacha Wangwe kufariki, CHADEMA imekufa Tarime?

Baada ya Chacha Wangwe kufariki, CHADEMA imekufa Tarime?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,900
Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?

Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.
 
wahi ukachukue buku saba zako kabla ofisi haijafungwa.
 
NI HERI CHADEMA YEYE WATU 10 KULIKO CHEDEMa YENYE WATU 100 WASALITI.
 
Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?

Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.

Imekufajee labda kwan yee ndo Mbuge mwa mwisho wa chadema Tarime?
 
thread imekaa kidakudaku kimipasho knoma.
 
Recoiling force iko hivyo, CDM ipo na itakuwepo juu sana tarime this time with Heche
 
thread imekaa kidakudaku kimipasho knoma.

Mnakazi kubwa sana mwaka huu ya kutetea chama kilichojaa ukabila, ukanda na ubaguzi wa kila aina sijui kama mtafanikiwa.
 
Mpango wa mungu hata njama za adui zinakuwa nyenzo za kukamilisha mpango huo, hili la ZZK unachama na mahakama na escrow hadi raha
 
Recoiling force iko hivyo, CDM ipo na itakuwepo juu sana tarime this time with Heche
Hizo ni ndoto, CHADEMA tunamtaka Esther Matiku au Chacha Mwikwabe ( yule bwana ambaye zamani alikuwa akimkorogea chai Dr. Emmanuel Nchimbi alipokuwa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa)
 
Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?

Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.

Mpuuzi mwingine huyu hapa! Ni Kibaraka wa Magamba! Maarufu kama MAFISADI. Yaani nyie CCM hata Propaganda hamjui siku hizi. Hebu nendeni shule mkasomee mambo ya propaganda
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mpuuzi mwingine huyu hapa! Ni Kibaraka wa Magamba! Maarufu kama MAFISADI. Yaani nyie CCM hata Propaganda hamjui siku hizi. Hebu nendeni shule mkasomee mambo ya propaganda

Utamjua CHADEMA kwa matusi na fujo hata kwenye daladala
 
Unatathimini ya uchaguzi wa serikali za mitaa.kama unayo ndiyo utajua kama chadema inakufa.
 
Back
Top Bottom