Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,900
Baada ya Chacha Wangwe kufariki CHADEMA imekufa Tarime au bado wanaCHADEMA wa Tarime wanamlilia?
Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.
Maana hakuna tena vurugu kama zamani. Vurugu zimehamia Arusha, Msoma Mjini,Mbeya, mwanza na kwingineko.Uwepo wa CHADEMA IMARA unajitambulisha kwa fujo Zao.