Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Ndugu zangu, kwa mda wa wiki moja hivi nimekuwa jukwaani hapa kama mgeni baada ya kuzawadiwa ban kutokana na mchango wangu huko jukwaa la siasa, jukwaa lile kuna watu wanakera, wana-behave kama vile hawaoni matatizo ya nchi yetu, kwa kawaida baada ya kukaa kwenye jukwaa la siasa hatimaye mimi huja hapa MMU hili ni jukwaa lenye raha sana unasoma vitu mpaka unasahau taabu zetu! natamani kuhamia kwenye hili jukwaa, ila namna style ya uandishi kwenye jukwaa hili sasa du naona kama mgumu vile but ni jukwaa lisilo na stress!