Ba Bye Bachelor's Life

Habari za Maisha Waungwana!!?

Kuna umri ukifika unakua na msukumo flani as kijana kua unataka kupiga hatua hii na ile katika maisha na wakati mwingine mambo yanapo kua hayaendi sawa unavunjika moyo sana.

Niseme jambo muhimu, kijana yeyote anaejitambua mission iliyo kuu ni moja tu! kuja kua na family productive yenye success lakini mzizi wa yote haya uanzia pale tunapochagua who !s best person to marry?, hakika ukikosea umejichimbia shimo, iwe ME au KE.

Aisee sio wote wanafikia maamuzi haya sababu vipo vingi vinakera na kufurahisha ndani yake

Mfano wengi ukosea kuoa wengine uolea tamaa au mali wengine bora wawe na familia wengine kwa shinikizo la wazazi.

Ila kuna wale waungwana ambao hupatia katika perfect timing, perfect couple na perfect decision mbona mambo ua matamu mnoo sababu watu hutamani sana siku ifike watu wachukue jiko waanze maisha mapya.

Binafsi hii ni hatua muhimu sana maana ubachelor mtamu sana lakini ndoa ni tamu zaidi hasa ukimpata muolewaji na muoajii kweli, nasikia wanasema mengi kuhusu ndoa ila ninaamini kitu chochote uwa kulingana na unavyokichukulia.

Tarehe 22 April nachukua jiko rasmi nauaga ubachelor na naingia kwenye Ubaba na Umme, niwasii ndugu zangu wote hasa upcoming ones kua kila kitu ni maamuzi but maamuzi yawe sahihi sana.

Kwaherini mabachelor wenzangu... Msisahau kua hicho ni kipindi cha mpito hakidumu., lets go for Respect n honor.
Mpaka kifo kiwatenganishe ndio utajua maamuzi yako ni sahihi au la!
 
Habari za Maisha Waungwana!!?

Kuna umri ukifika unakua na msukumo flani as kijana kua unataka kupiga hatua hii na ile katika maisha na wakati mwingine mambo yanapo kua hayaendi sawa unavunjika moyo sana.

Niseme jambo muhimu, kijana yeyote anaejitambua mission iliyo kuu ni moja tu! kuja kua na family productive yenye success lakini mzizi wa yote haya uanzia pale tunapochagua who !s best person to marry?, hakika ukikosea umejichimbia shimo, iwe ME au KE.

Aisee sio wote wanafikia maamuzi haya sababu vipo vingi vinakera na kufurahisha ndani yake

Mfano wengi ukosea kuoa wengine uolea tamaa au mali wengine bora wawe na familia wengine kwa shinikizo la wazazi.

Ila kuna wale waungwana ambao hupatia katika perfect timing, perfect couple na perfect decision mbona mambo ua matamu mnoo sababu watu hutamani sana siku ifike watu wachukue jiko waanze maisha mapya.

Binafsi hii ni hatua muhimu sana maana ubachelor mtamu sana lakini ndoa ni tamu zaidi hasa ukimpata muolewaji na muoajii kweli, nasikia wanasema mengi kuhusu ndoa ila ninaamini kitu chochote uwa kulingana na unavyokichukulia.

Tarehe 22 April nachukua jiko rasmi nauaga ubachelor na naingia kwenye Ubaba na Umme, niwasii ndugu zangu wote hasa upcoming ones kua kila kitu ni maamuzi but maamuzi yawe sahihi sana.

Kwaherini mabachelor wenzangu... Msisahau kua hicho ni kipindi cha mpito hakidumu., lets go for Respect n honor.
Mi nimeona uvivu kumalizia kusoma kwa sababu ya kutotumia "H"
Yaani et ua badala ya huwa
 
Mchanganuo mzuri sana ila jiulize kwanini tunasemaga huyu ni sahihi na yule sie..?
Sahihi haimaanishi perfect bali ni yule ambaye anakufaa kuwa mwenzi wako wa ndoa,yule atakayeweza kuziba ulipopungua na wewe kuziba alipopungua yeye bila masharti yoyote...

Unaposema perfect unakuwa unamaanisha ni mtu ambaye ni malaika labda kitu ambacho siyo sahihi kabisa na mtazamo huu ndiyo unawaumiza sana wanaoingia ndoani kwasababu wanakwenda kukutana na kitu tofauti kabisa na kuanza kupoteza muelekeo...

Ndiyo maana miezi mitano ya kwanza mtu ananenepa lakini baada ya hapo anakongoroka sana kwasababu ile miezi 6 ya mwanzo kila mmoja atajitahidi kujionesha ni malaika kwa mwenzake na baada ya hapo wote wanachoka wanaanza kuonekana haswa namna walivyo...

Wewe chunguza tu utaona watu wananenepa muda huo kwa kufurahia kitendo hicho lakini baada ya hapo waangalie....
 
Sahihi haimaanishi perfect bali ni yule ambaye anakufaa kuwa mwenzi wako wa ndoa,yule atakayeweza kuziba ulipopungua na wewe kuziba alipopungua yeye bila masharti yoyote...

Unaposema perfect unakuwa unamaanisha ni mtu ambaye ni malaika labda kitu ambacho siyo sahihi kabisa na mtazamo huu ndiyo unawaumiza sana wanaoingia ndoani kwasababu wanakwenda kukutana na kitu tofauti kabisa na kuanza kupoteza muelekeo...

Ndiyo maana miezi mitano ya kwanza mtu ananenepa lakini baada ya hapo anakongoroka sana kwasababu ile miezi 6 ya mwanzo kila mmoja atajitahidi kujionesha ni malaika kwa mwenzake na baada ya hapo wote wanachoka wanaanza kuonekana haswa namna walivyo...

Wewe chunguza tu utaona watu wananenepa muda huo kwa kufurahia kitendo hicho lakini baada ya hapo waangalie....
You! Have a good point of view but not Law!
 
Ngoja ni save ID yko kwa ajili ya reference utakapoanza vilio apa na kuomba ushauri mara mke wangu ivi mara vile
 
Sahihi haimaanishi perfect bali ni yule ambaye anakufaa kuwa mwenzi wako wa ndoa,yule atakayeweza kuziba ulipopungua na wewe kuziba alipopungua yeye bila masharti yoyote...

Unaposema perfect unakuwa unamaanisha ni mtu ambaye ni malaika labda kitu ambacho siyo sahihi kabisa na mtazamo huu ndiyo unawaumiza sana wanaoingia ndoani kwasababu wanakwenda kukutana na kitu tofauti kabisa na kuanza kupoteza muelekeo...

Ndiyo maana miezi mitano ya kwanza mtu ananenepa lakini baada ya hapo anakongoroka sana kwasababu ile miezi 6 ya mwanzo kila mmoja atajitahidi kujionesha ni malaika kwa mwenzake na baada ya hapo wote wanachoka wanaanza kuonekana haswa namna walivyo...

Wewe chunguza tu utaona watu wananenepa muda huo kwa kufurahia kitendo hicho lakini baada ya hapo waangalie....
Huyu wa kwangu anafanya mambo makubwa yote, lakini kwenye mambo madogo ni issue. Mazuri yake; gharama za nyumba, gari, hata ticket za holiday ananunua lakini naweza sahau kulipia umeme mpaka dakika ya mwisho anakupigia simu ni kuwa hakuna hata wa kupikia, mama yake haishi mbali, anaweza kuamka asubuhi hana hata mkate na maziwa ndani anakwenda kunywa chai kwa mama, sasa ninajiuliza huyu ni mwanaume au mvulana?
 
Ata kama siko kwenye ndoa nafahamu moja au mawili kuhusu ndoa kutoka kwenye mafundisho na maongezi na wazee... Ningependa kushare nawe machache!

1. Usiruhusu penzi lenu lipoa ata sekunde moja!!! Hakikisha kila siku unamuona mkeo kama ndo mara ya kwanza mnaanza uhusiano wenu. Mambo mliokua mnafanya kwenye uchumba kama kutoka out, kumnunulia vizawadi n.k usiache kufanya...

2. Usiinue mkono wako kumpiga mkeo. Mmeshakua mwili mmoja, ni chizi tu ndo anajipiga mwenyewe.

3. Kama unavutiwa na wanawake wavaa vimini (na vinginevyo) usianze kujitesa kugeuza shingo barabarani, mnunulie mkeo vimini avae ili roho yako iridhike...

4. Wanawake tunabadilika hisia kulingana na kipindi... Sio kua tunapenda ila ndivyo tulivyoumbwa!!! Msome mkeo na udili nae kulingana na mood yake!!!

5. Mambo ya ndani kwenu yaishie ndani kwenu!!! Ndugu na marafiki hawahusiki katika ndoa yenu! Hifadhi madhaifu ya mkeo na muwe pamoja kuyabadilisha.

Asante!!!
 
Huyu wa kwangu anafanya mambo makubwa yote, lakini kwenye mambo madogo ni issue. Mazuri yake; gharama za nyumba, gari, hata ticket za holiday ananunua lakini naweza sahau kulipia umeme mpaka dakika ya mwisho anakupigia simu ni kuwa hakuna hata wa kupikia, mama yake haishi mbali, anaweza kuamka asubuhi hana hata mkate na maziwa ndani anakwenda kunywa chai kwa mama, sasa ninajiuliza huyu ni mwanaume au mvulana?
Ndivyo binadamu tulivyo,tumia madhaifu haya kumopenda zaidi na utaona maajabu yake....

Penda kile ambacho wewe unakiona hasi halafu utaona....
 
Huyu wa kwangu anafanya mambo makubwa yote, lakini kwenye mambo madogo ni issue. Mazuri yake; gharama za nyumba, gari, hata ticket za holiday ananunua lakini naweza sahau kulipia umeme mpaka dakika ya mwisho anakupigia simu ni kuwa hakuna hata wa kupikia, mama yake haishi mbali, anaweza kuamka asubuhi hana hata mkate na maziwa ndani anakwenda kunywa chai kwa mama, sasa ninajiuliza huyu ni mwanaume au mvulana?
Msaidie atambue jukumu lake
 
Ata kama siko kwenye ndoa nafahamu moja au mawili kuhusu ndoa kutoka kwenye mafundisho na maongezi na wazee... Ningependa kushare nawe machache!

1. Usiruhusu penzi lenu lipoa ata sekunde moja!!! Hakikisha kila siku unamuona mkeo kama ndo mara ya kwanza mnaanza uhusiano wenu. Mambo mliokua mnafanya kwenye uchumba kama kutoka out, kumnunulia vizawadi n.k usiache kufanya...

2. Usiinue mkono wako kumpiga mkeo. Mmeshakua mwili mmoja, ni chizi tu ndo anajipiga mwenyewe.

3. Kama unavutiwa na wanawake wavaa vimini (na vinginevyo) usianze kujitesa kugeuza shingo barabarani, mnunulie mkeo vimini avae ili roho yako iridhike...

4. Wanawake tunabadilika hisia kulingana na kipindi... Sio kua tunapenda ila ndivyo tulivyoumbwa!!! Msome mkeo na udili nae kulingana na mood yake!!!

5. Mambo ya ndani kwenu yaishie ndani kwenu!!! Ndugu na marafiki hawahusiki katika ndoa yenu! Hifadhi madhaifu ya mkeo na muwe pamoja kuyabadilisha.

Asante!!!
Nimependa ya 3
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom