BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,779
- 17,530
Niliwahi kuona Smithsonian Channel Ilifanya operation kadhaa vita ya pili ya Marekani na Iraq. Ilikuwa inatoka moja kwa moja Marekani kwenda kushambulia inarudiIliwahi kupigana wapi hio ndege?
Tokea israhell ashindwe kukomboa watu wake waliotekwa kwamuda wa miezi minne hata unambie nini kuhusiana na silaga na Intelijensia ya hao wapuuzi siwezi nikaamini mpaka iwepo field
Wamagharibi waongo sana na wala sio wakuawaamini hata dakika
Kambi ilioshambuliwa Jordan unaambiwa ina mifumo ya ulinzi ya kila namna ila wahuni wamepenya
Mwisho hizo propaganda tu wala si waamini