Aziz ki pole sana

Aziz ki pole sana

Mbape alijiunga na Real Madrid moja kwa moja akapata namba
Bora hakuwepo mechi ya juzi wangetupiga kono la nyani.....ahoua mapenati Naye aliingia kwenye mfumo wa mapenati huku ametoa ulimi nje kama mbwa
 
Aziz Ki mfumo umemkataa kabisa pale Wydad Casablanca, hapewi nafasi kabisa kuna uwezekano mkubwa akaondoka na kurudi Yanga kama watakuwa wamejipanga kumrudisha

Wydad hawathamini kabisa uwezo wa Aziz Ki, amekua akianzia benchi zaidi na kupewa dakika chache mno kama mchezaji wa kawaida kabisa, hii ni dharau kubwa sana na kwa alipokuwa amefikia Aziz Ki ni kumpoteza kwenye ramani ya soka

Kwenye michezo ya klabu bingwa dunia katika mechi 3 za Wydad amecheza dakika 11 tu, 7 dhidi ya Manchester City na 4 dhidi ya Juventus huku mechi dhidi ya Al Ain akiachwa kabisa

Hii imekua ni tabia ya kawaida timu za Uarabuni Afrika Kaskazini kuwachukua wachezaji wazuri na kuwamalizia benchi, hata Mayele pale Pyramids ilibaki kidogo akimbie maana walikua wanamueka benchi wanampa dakika nyingi mzawa ambaye hakuwa na uwezo wa Mayele

Inasikitisha sana aisee 😭
Mkewe anajua haya 🤔
 
Aziz Ki mfumo umemkataa kabisa pale Wydad Casablanca, hapewi nafasi kabisa kuna uwezekano mkubwa akaondoka na kurudi Yanga kama watakuwa wamejipanga kumrudisha
Sidhani kama ni mfumo ndio umemkataa bali yule ndo Aziz tunayemjua tuliyeanza kumfuatilia tangu atue Uto! Huwa anachelewa sana ku-gain momentum, na hata Uto ilikuwa hivi hivi hadi wakaanza kumkataa!!
 
Mfano mzuri kwa mayele pyramid pale alianzia bench sahv ana anza sasa lazima aonyeshe challenge kwa wachezaji wenzake ili aweze kuanza
 
Aziz Ki mfumo umemkataa kabisa pale Wydad Casablanca, hapewi nafasi kabisa kuna uwezekano mkubwa akaondoka na kurudi Yanga kama watakuwa wamejipanga kumrudisha

Wydad hawathamini kabisa uwezo wa Aziz Ki, amekua akianzia benchi zaidi na kupewa dakika chache mno kama mchezaji wa kawaida kabisa, hii ni dharau kubwa sana na kwa alipokuwa amefikia Aziz Ki ni kumpoteza kwenye ramani ya soka

Kwenye michezo ya klabu bingwa dunia katika mechi 3 za Wydad amecheza dakika 11 tu, 7 dhidi ya Manchester City na 4 dhidi ya Juventus huku mechi dhidi ya Al Ain akiachwa kabisa

Hii imekua ni tabia ya kawaida timu za Uarabuni Afrika Kaskazini kuwachukua wachezaji wazuri na kuwamalizia benchi, hata Mayele pale Pyramids ilibaki kidogo akimbie maana walikua wanamueka benchi wanampa dakika nyingi mzawa ambaye hakuwa na uwezo wa Mayele

Inasikitisha sana aisee 😭
Lazima itachukua muda kuingia kwenye mfumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom