Watu wazuri hawafiMfanyabiashara maarufu nchini Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kuhusu tukio la maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukataa kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Mhe. Dotto Biteko aliyekuwa jijini Mbeya kikazi, Februari 20, 2023
"Mimi ni mshabiki wa vyama vya upinzani na kila mara huwa nasema Simba haiwezi kuwa imara bila kuwa na Yanga imara, hivyohivyo CCM inahitaji wapinzani imara ili kuwa imara zaidi, lakini saa nyingine wapinzani wanajisahau wanazungumza maneno ya kuleta fujo" - Alisema Mzee Azim Dewji
Mzee Azim Dewji amesisitiza ni muhimu wapinzani kuwa wastaarabu, wakikosa ustaarabu Serikali ikazuia maandamano wasipige kelele
Hata hivyo, Mzee Azim Dewji amesema kuwa Lissu ni Mnyaturu mwenzake na wote wametokea Singida, lakini kwenye hili ni vizuri akaomba radhi.
Nilichokielewa kikubwa kabisa ni...
Kama mh Tundu lisu siku awe kiongozi, angependa kuitwa majina ya hovyo kama anavyowaita viongozi wengine, Je angependa tumdharau kama anavyoonyesha kuwadharau viongozi wengine?
Dewj kaongea point
kila moja awe huru kufanya yake wakati wote 🐒..na asiyehusika na maandamano hana ruksa kuwasumbua au kuwazuia wanaoandamana.
Ubaguzi utakuua mbwa ww..unadhani kazaliwa mkoa gani?Dewji ni mnyaturu kumbe!! Na Rostam ni mnyamwezi, tunasubiri umeme,wengine wanasubiri sukari,wengine maji,hiyo meli sijui itafika lini,au usikute ilishazamishwa na hizbolah
uraibu wa gubu dhidi ya mitazamo na maoni ya wengine ni kitu mbaya na ya hovyo sana 🐒🌈 Hakuna kitu kibaya kama kuwa chawa uzeeni.
Huyu Azim Dewji ameitumia sana Simba kujitajirisha! Huko nyuma aliwabebesha wachezaji wa simba madawa ya kulevya bila wao kujua!!We gabachori kaa kwa kutulia ,unajua kwamba biteko ndiyo amevunja sheria?
Mfanyabiashara maarufu nchini Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kuhusu tukio la maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukataa kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Mhe. Dotto Biteko aliyekuwa jijini Mbeya kikazi, Februari 20, 2023
"Mimi ni mshabiki wa vyama vya upinzani na kila mara huwa nasema Simba haiwezi kuwa imara bila kuwa na Yanga imara, hivyohivyo CCM inahitaji wapinzani imara ili kuwa imara zaidi, lakini saa nyingine wapinzani wanajisahau wanazungumza maneno ya kuleta fujo" - Alisema Mzee Azim Dewji
Mzee Azim Dewji amesisitiza ni muhimu wapinzani kuwa wastaarabu, wakikosa ustaarabu Serikali ikazuia maandamano wasipige kelele
Hata hivyo, Mzee Azim Dewji amesema kuwa Lissu ni Mnyaturu mwenzake na wote wametokea Singida, lakini kwenye hili ni vizuri akaomba radhi.
kila moja awe huru kufanya yake wakati wote 🐒
Mzee apunguze kujipendekeza
Kumbe Asas ni Mhehe🤣Hata hivyo, Mzee Azim Dewji amesema kuwa Lissu ni Mnyaturu mwenzake na wote wametokea Singida, lakini kwenye hili ni vizuri akaomba radhi.
for sure ingeguswa gari ya waziri Mkuu au kuzuia kabisa msafara ule nadhani ingetoa picha mbaya sana kwamba waziri Mkuu anazuiwa asifanye kazi zake vip wasafirishaji, watumia barabara wengine mathalani wauuza ndizi au maji ambae nae anafanya kazi zake na haelewi wala si sehemu ya maandramano 🐒..polisi na Chadema walipaswa kuzungumza kuhusu waandamanaji ku-share barabara na msafara wa Naibu Waziri Mkuu wakati wa MAANDALIZI ya maandamano.
..mimi nazipongeza pande zote kwa kutunza AMANI kwani upo uwezekano baadhi ya watu walitaka mambo yaharibike ili waanze kumshutumu upande huu au ule.
for sure ingeguswa gari ya waziri Mkuu au kuzuia kabisa msafara ule nadhani ingetoa picha mbaya sana kwamba waziri Mkuu anazuiwa asifanye kazi zake vip wasafirishaji, watumia barabara wengine mathalani wauuza ndizi au maji ambae nae anafanya kazi zake na haelewi wala si sehemu ya maandramano 🐒
For sure
uungwana ulotumika kuepusha shari kwa upande wa waandamanaji, polisi na msafara wa naibu waziri Mkuu ni muhimu sana kumaintain utamaduni huu wa kustahimiliana tunapofanya mambo yetu 🐒
Ni kweli kabisa 🌈uraibu wa gubu dhidi ya mitazamo na maoni ya wengine ni kitu mbaya na ya hovyo sana 🐒