Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,832
Wandugu wapendwa,
Poleni sana na kazi za ujenzi wa taifa na kujitafutia mkate wa kila siku.
Ninaishi na girl friend wangu ambaye siku ni mfanyakazi wa kampuni moja ya bima hapa DSM.
Wiki iliyopita aliniambia kuwa amepata ujauzito na anahisi una umri wa mwezi mmoja.
binafsi nilifurahishwa sana na taarifa hizo kwani sasa ka umri kamekimbia na sina hata mtoto wa kusingiziwa. Lakini mwenzangu hakuwa anaonekana amefurahishwa na jambo hilo la ujauzito wake na akanishauri kuwa atoe, nikagoma.
Leo ameamka mapema sana na ameniaga kuwa anaenda kununua dawa za minyoo zinazoitwa Zentel.
Je hizo dawa haziwezi kuharibu ujauzito wake?
NA NI NINI MADHARA YA DAWA HIZO KWA MTU MWENYE UJAUZITO MCHANGA KAMA HUO WA MWEZI MMOJA?
Poleni sana na kazi za ujenzi wa taifa na kujitafutia mkate wa kila siku.
Ninaishi na girl friend wangu ambaye siku ni mfanyakazi wa kampuni moja ya bima hapa DSM.
Wiki iliyopita aliniambia kuwa amepata ujauzito na anahisi una umri wa mwezi mmoja.
binafsi nilifurahishwa sana na taarifa hizo kwani sasa ka umri kamekimbia na sina hata mtoto wa kusingiziwa. Lakini mwenzangu hakuwa anaonekana amefurahishwa na jambo hilo la ujauzito wake na akanishauri kuwa atoe, nikagoma.
Leo ameamka mapema sana na ameniaga kuwa anaenda kununua dawa za minyoo zinazoitwa Zentel.
Je hizo dawa haziwezi kuharibu ujauzito wake?
NA NI NINI MADHARA YA DAWA HIZO KWA MTU MWENYE UJAUZITO MCHANGA KAMA HUO WA MWEZI MMOJA?