fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Jamani wana JF, huyu mwakilishi wa wananchi anapoponda mgomo wa udom akidai wanachuo wanatafuta umaarufu, mara wametumwa na chadema,! kweli amefanya utafiti na kujua tatizo ni nini! haoni umuhimu wa field? yeye alisomaje? ni kweli wanachuo wote wale na upeo wao wametumwa? na je ili iweje? mimi nadhani asilaumu upande umoja, tatizo ni wao wenyewe ambao ni tabaka tawala wamekuwa na porojo badala ya utendaji, viongozi wenzake kama kawambwa na pinda wote walifika udom na kutoa ahadi hewa.
Kwa dhati nimpongeze dada halima mdee kuwaambia hawa viongozi kuwa "hatuwezi kutumia siasa kutatua matatizo"
Kwa dhati nimpongeze dada halima mdee kuwaambia hawa viongozi kuwa "hatuwezi kutumia siasa kutatua matatizo"