AzamTV mnakera acheni ushamba sana...

AzamTV mnakera acheni ushamba sana...

Nascoba

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
310
Reaction score
160
Kama mmeamua kutengeneza app kwa ajili ya chanel zenu vipi tena inawapata kazi ya kuzihamisha kila mara Yaani kukiwa na football mechi mnahamisha chanel ili eti watu wakaangalie kupitia ving’amuzi,Yaani Yaani bado hamjui kwamba watu wako karibu na simu zao kuliko ving’amuzi ambavyo wameviacha nyumbani.

Na hamjui kwamba umaarufu wenu unatokana na mpira tu na si vinginevyo?
Hebu tuandalieni utaratibu wa kulipia chanel zenu ili tuweze kuendelea kuona Ktk simu bila kero vinginevyo hata hiyo app yenu itakuwa haina maana yoyote tutaifuta tu.

Acheni kulewa sifa
 
Daaah maisha ni jinsi unavyoyachagua, karibu DStv now ufurahie.
Screenshot_20190926-134439.jpeg
 
App inaitwa DStv Now, unaunga account yako ya DStv kuweza kupata vipindi vyote kupitia simu/tablet/laptop.

Niliwahi kutumia hiyo app ni clear, sema inakula mb nyingi sana...Azam hata ukiwa na mb 200 unacheki ball dakika zote.
 
Kama mmeamua kutengeneza app kwa ajili ya chanel zenu vipi tena inawapata kazi ya kuzihamisha kila mara Yaani kukiwa na football mechi mnahamisha chanel ili eti watu wakaangalie kupitia ving’amuzi,Yaani Yaani bado hamjui kwamba watu wako karibu na simu zao kuliko ving’amuzi ambavyo wameviacha nyumbani.
Na hamjui kwamba umaarufu wenu unatokana na mpira tu na si vinginevyo?
Hebu tuandalieni utaratibu wa kulipia chanel zenu ili tuweze kuendelea kuona Ktk simu bila kero vinginevyo hata hiyo app yenu itakuwa haina maana yoyote tutaifuta tu.
Acheni kulewa sifa
Nunua kifurushi cha Tshs 28,000 na utafurahi roho yako.
 
Niliwahi kutumia hiyo app ni clear, sema inakula mb nyingi sana...Azam hata ukiwa na mb 200 unacheki ball dakika zote.
Ina depend na uamuzi wako,kna option pale za quality,jinsi unavyochagua quality nzuri ndo itakavyokula mb nyingi
 
Mb 200 unaangalia mpira kwa quality gani mkuu...

Raha ya mpira ni kustream at 1080p


Sidhani kama wana quality za kuchagua kama Bein Sport...huwa nikiingia inanipa papo hapo


Hiyo 1080 safi sana sema inakula mb kama haina akili
 
Ina depend na uamuzi wako,kna option pale za quality,jinsi unavyochagua quality nzuri ndo itakavyokula mb nyingi

Shukran kamanda wangu...vipi maendeleo ya mfalme? Amepewa siku ngapi kuuguza jeraha?
 
Sidhani kama wana quality za kuchagua kama Bein Sport...huwa nikiingia inanipa papo hapo


Hiyo 1080 safi sana sema inakula mb kama haina akili


Huwezi kujua kama hutumii vitu hivi boss...

Check that out...
 

Attachments

  • Screenshot_20190926-150546_DStv Now.jpg
    Screenshot_20190926-150546_DStv Now.jpg
    72.4 KB · Views: 22
Thanx kamanda, nina app ambayo inaonyesha aina zote ya mpaka hiyo ya 1080..dah sometimes inasumbua sana...


App ipi mkuu unatumia?


Hii ni app ya DSTV inaitwa Dstv now...unatakiwa i-link na account yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom