mkuu, kwanza tambua AZAM hana chanel za bure, mwenye chanel za bure ni STARTIMES, TING, CONTINENTAL na DIGITEK.
Sasa kuhusu local chanel ni kwamba, startimes local chanel zinapatikana bure, vingamuzi vyao gharama yake ni 150,000 kile cha dish na 99,000 kile cha antena! sasa walichokifanya kwa kuwa watu wengi wanashindwa lipia 150,000 wametoa 44000 (kama sijakosea) alafu unanunua 106,000, local chanel unazipata kama kawaida ila hela yko ikiisha inabidi ulipie. ukitaka uzipate moja kwa moja wanakwambia malizia ile 44,000 watakufungulia moja kwa moja. kwa wale wateja wenye uwezo wa kununua 150000 moja kwa moja wao wanapata local chanel hizi bure.
Kwa vile ving'amuzi vyao vya antena ukinunua 99,000 unapewa na antena na unapata chanel za bure moja kwa moja.
Ukija upande wa vipindi honestly speaking naona startimes wameimprove sanaaaa, ingawa AZAM anawabit kwa Premier league.