Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Azam timu piga mtibwa 8 bila
umeona hizo nane....
Azam timu piga mtibwa 8 bila
Aibu yao waliokuwa wameipatia Azam pointi 3 na goli 3 za mezani.Azam kapigwa 2-1 na ni dk za mwisho mwisho sasa!
Aibu yao waliokuwa wameipatia Azam pointi 3 na goli 3 za mezani.
Azam kapigwa 2-1 na ni dk za mwisho mwisho sasa!
This is very interesting,
Haya tuanze kutoa tafsiri zetu,
1. Je neutral ground ndio imetoa matokeo haya?
2. Je wangecheza Chamazi matokeo yangekuwa haya?
3. Je Azam uwezo wao unaonekana wakiwa Chamazi?
4. Je ile mechi ya awali Mtibwa walistahili kushunda?