Azam Ukwaju wanautoa wapi?

Azam Ukwaju wanautoa wapi?

Wanaume wa dar mnakunywa juisi ya ukwaju.

Acha sie tunywe mbege
 
Ukwaju ni matunda pori kama ilivyo kwa mbuyu ,pia ukihitaji kuotesha waweza otesha na kuupanda, unamea kama maharage kipindi kifupi cha siku14 na unaanza kuzaa matunda baada ya miaka5.

Miti hiyo inapenda na kustawi sana maeneo yenye ukame.

Nenda mkoa wa Simiyu na Shinyanga utaamini ninachoandika.

Inachofanya kampuni ya Azamu ni kukusanya kwa mawakala waliopo mikoa hiyo ya Simiyu Shinyanga na Tabora, kisha husafirsha kuleta Dar kiwandani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukwaju unazaa matunda baada ya miaka mitano?
 
Ukwaju unazaa matunda baada ya miaka mitano?
Mkuu mi5 ndiyo na huanza kwa kuzaa matunda machache sana kwa mwaka wa kwanza.

Me nishaotesha na kupanda shambani kwangu.

Kabla nilihisi huchukua miaka mingi sana.

Kumbe ile inayochukua miaka mingi ni ile inayoota kisuguuni sehemu kavu isiyo tifutifu, hudumaa na kuchukua miaka mingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi wanaingiza uji uji wa ukwaju( tamarind concentrate) kutoka china wanatengeneza juisi. Viwanda vingi vinavyotengeneza juisi wanafanya hivyo, ni rahisi kuliko kutafuta tunda hapa na kulikamua.
Tanzania ukwaju umejaa; unaoza
 
Ukwaju unatoka singida dodoma shinyanga tabora na ananunua tani 1 sh 1000000
 
Sio ukwaju wote labda kwa kiasi fulani tu. Nimepita njia kutoka Singida hivi karibuni barabarani kuna viroba vya ukwaju tele havijanunuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hawajaamua kuupeleka Azam ni tatizo lao
Azama wametangaza wananunua ukwaju,ni jukumu la wakulima kuoeleka sokoni,au wanataka wafuatwe?kwani korosho hizo?
 
Mkuu baada ya hizo dalili za kisukari kwa siku mbili baadae ikawaje?
Kiwango Cha sukari kilichopo kwenye hiyo product nadhan ni kikubwa Sana

Binafsi Sina formula ya ku kontrol chochote katika milo yangu( the I love to eat diet), ila Kuna siku nilijaribu kula azam ukwaju ice cream, Kwa siku mbili mfululizo, siku ya Tatu asubuhi tu ni kaanza kusikia kiu Sana isiyoisha pamoja na kukojoa Sana,, typical symptoms za kisukari, nikaamua kuacha nazo

Hadi sasa naendelea tu na mfumo wangu WA chakula, ie sichagui kitu na sijawahi Tena pata dalili zile,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu baada ya hizo dalili za kisukari kwa siku mbili baadae ikawaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Zilipotea tu japo na sikusikia tena, japo nimeshauriwa kuchukua hatua za kupunguza sugar intake,

Kinachonishangaza, kwa nini hiyo product ilinitingisha Kwa muda mfupi namna Ile.

Sent from my BKK-AL10 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom