Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,882
- 7,032
Nasubiri muulize Azam milk (Maziwa ya Azam) maana Bakhressa hana ng'ombe na anauza maziwa!
Sent using Jamii Forums mobile app

Nasubiri muulize Azam milk (Maziwa ya Azam) maana Bakhressa hana ng'ombe na anauza maziwa!
Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona huwa naona wafanyakazi wa Azam wanazagaa porini kusaka huo ukwaju na magunia yao.

Hiyo sasa ni case nyingine, uswahilini hamna formula hivyo kila mtu anachanganya kulingana na utashi wake.😂😂😂😂😂😂 lengo watu wanywe juice ya ukwaju.
Hahah mshkaji wangu aliwahi kuadhirika kwny haice pale Makumbusho sababu ya juice ya ukwaju.Hiyo sasa ni case nyingine, uswahilini hamna formula hivyo kila mtu anachangaya kulingana na utashi wake.lengo watu wanywe juice ya ukwaju.
Ukwaju unazaa matunda baada ya miaka mitano?Ukwaju ni matunda pori kama ilivyo kwa mbuyu ,pia ukihitaji kuotesha waweza otesha na kuupanda, unamea kama maharage kipindi kifupi cha siku14 na unaanza kuzaa matunda baada ya miaka5.
Miti hiyo inapenda na kustawi sana maeneo yenye ukame.
Nenda mkoa wa Simiyu na Shinyanga utaamini ninachoandika.
Inachofanya kampuni ya Azamu ni kukusanya kwa mawakala waliopo mikoa hiyo ya Simiyu Shinyanga na Tabora, kisha husafirsha kuleta Dar kiwandani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana unahisi unawajua watu na imani zao kwa kukutana tu mitandaoni tena wakiwa na ID fake. Haya mazoea peleka kwa watoto wenzio sina mpango wa ku adopt mtotoNdio nimemaliza la 7 nasubiri kwenda form 1 mwakani.
Mpk hapo nadhani umeshajua nna miaka mingapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi5 ndiyo na huanza kwa kuzaa matunda machache sana kwa mwaka wa kwanza.Ukwaju unazaa matunda baada ya miaka mitano?
Tanzania ukwaju umejaa; unaozaNahisi wanaingiza uji uji wa ukwaju( tamarind concentrate) kutoka china wanatengeneza juisi. Viwanda vingi vinavyotengeneza juisi wanafanya hivyo, ni rahisi kuliko kutafuta tunda hapa na kulikamua.
Kama hawajaamua kuupeleka Azam ni tatizo laoSio ukwaju wote labda kwa kiasi fulani tu. Nimepita njia kutoka Singida hivi karibuni barabarani kuna viroba vya ukwaju tele havijanunuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwango Cha sukari kilichopo kwenye hiyo product nadhan ni kikubwa Sana
Binafsi Sina formula ya ku kontrol chochote katika milo yangu( the I love to eat diet), ila Kuna siku nilijaribu kula azam ukwaju ice cream, Kwa siku mbili mfululizo, siku ya Tatu asubuhi tu ni kaanza kusikia kiu Sana isiyoisha pamoja na kukojoa Sana,, typical symptoms za kisukari, nikaamua kuacha nazo
Hadi sasa naendelea tu na mfumo wangu WA chakula, ie sichagui kitu na sijawahi Tena pata dalili zile,
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilipotea tu japo na sikusikia tena, japo nimeshauriwa kuchukua hatua za kupunguza sugar intake,Mkuu baada ya hizo dalili za kisukari kwa siku mbili baadae ikawaje?
Sent using Jamii Forums mobile app