WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,461
- 1,546
Miezi kadhaa iliyopita nilienda Mwandege kuliko kiwanda cha azam cha juisi.
Nilikuta ma semi tailer yamejaa ukwaju kutoka
1.Shinyanga
2.Mombasa na
3.Uganda.
Ukwaju kanda ya ziwa hasa mkoa wa Shinyanga unapatikana kwa wingi sana, ni miti mikubwa kama miembe tu.
Azam alitoa tenda kwa watu kumkusanyia tani kadhaa halafu yeye anaenda kuchukua tu,ila kwa kuwa mahitaji yake yalikua makubwa ilibidi atafute tena kutoka nchi jirani.
Azam anatumia ukwaji halisi na sio concentrates
Nilikuta ma semi tailer yamejaa ukwaju kutoka
1.Shinyanga
2.Mombasa na
3.Uganda.
Ukwaju kanda ya ziwa hasa mkoa wa Shinyanga unapatikana kwa wingi sana, ni miti mikubwa kama miembe tu.
Azam alitoa tenda kwa watu kumkusanyia tani kadhaa halafu yeye anaenda kuchukua tu,ila kwa kuwa mahitaji yake yalikua makubwa ilibidi atafute tena kutoka nchi jirani.
Azam anatumia ukwaji halisi na sio concentrates