Azam Ukwaju wanautoa wapi?

Azam Ukwaju wanautoa wapi?

Nilikunywa one day ni test Aisee kama zile hazina mchanganyiko were wa ukwaju halisi basi kazi tunayo kwa sababu ni kama kuna taste ya ukwaju halisia

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Kiwango Cha sukari kilichopo kwenye hiyo product nadhan ni kikubwa Sana

Binafsi Sina formula ya ku kontrol chochote katika milo yangu( the I love to eat diet), ila Kuna siku nilijaribu kula azam ukwaju ice cream, Kwa siku mbili mfululizo, siku ya Tatu asubuhi tu ni kaanza kusikia kiu Sana isiyoisha pamoja na kukojoa Sana,, typical symptoms za kisukari, nikaamua kuacha nazo

Hadi sasa naendelea tu na mfumo wangu WA chakula, ie sichagui kitu na sijawahi Tena pata dalili zile,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukwaju unalimwa sana India na Far East na pia africa ingawa sisi tuliletewa tu na zinaota hovyo tu na sio zao la biashara kwetu
Nafikiri huwa analeta concentrates kutoka India na kuchanganya na maji kupata juice
Sidhani kama anaweza kupata wingi huo kwa miti iliyopo Tanzania


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Yeah hiyo ndo point langu kwamba kwa ukwaju tulio nao si rahisi kutengeneza product kubwa kiasi kile
Mkuu ukwaju unalimwa sana India na Far East na pia africa ingawa sisi tuliletewa tu na zinaota hovyo tu na sio zao la biashara kwetu
Nafikiri huwa analeta concentrates kutoka India na kuchanganya na maji kupata juice
Sidhani kama anaweza kupata wingi huo kwa miti iliyopo Tanzania


Sent from my iPhone using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabora na Shinyanga hiyo miti ipo mingi tu mashambani wala haikupandwa imejiotea tu.

Kwa sasa miti inalipiwa ukwaju ukiwa bado maua na thamani ya hii miti imepanda ghafla.

Ni muda muafaka kwa watafiti wa sekta hii kuja na mbegu za muda mfupi maana mikwaju huchukua miaka mingi mno kuanza kutoa matunda.
 
Nimeuliza kwa sababu kuna tetesi inasema siyo ukwaju halisi,ni fleva tu na chemical ,tena mchanganyiko wa lemon

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nadhani umefanya vizuri kuwa mdadisi. Wachangiaji wengine wanasema kiujumla kuwa ukwaju unapatikana kanda ya kati bila kuelezea mashamba wakulima wake wako wapi na ununuzi hufanyikaje. Baadhi ya vinywaji huwa vinatengenezwa kwa kutumia vionjo vinavyofanana na matunda bila kutumia matunda halisi.
 
Imagine nanunua buguruni sokoni kilo buku wao wanaletewa vijijini mpaka buguruni kwa kilo 300 mpaka 400.
Ni kweli soko la ukwaju halijakua tokea bakhresa aanze matumizi yake.
Mwanzo mimi nilifikiri ukwaju hautoshikika.
Ila imekuwa tofauti
Unapatikana Sana shy,tabora,ila Azam watakua wanatumia concentrate,maana sijaona soko la ukwaju likikua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom