amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,283
Pia hizo ladha za ukwaju zipo sokoni hata huku bongo.
Itakuwa wafanyakazi wa bakhressa wanaiba hizo concentrate wanazidillute na kuziuza sokoni na wale wanazipacj wanatuuzia.
Maana hakukuwaga na ladha ya ukwaju before imeanza juzi tu hapa baada ya bakhressa kuingiza sokoni ukwaju ice cream
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa wafanyakazi wa bakhressa wanaiba hizo concentrate wanazidillute na kuziuza sokoni na wale wanazipacj wanatuuzia.
Maana hakukuwaga na ladha ya ukwaju before imeanza juzi tu hapa baada ya bakhressa kuingiza sokoni ukwaju ice cream
Sent using Jamii Forums mobile app