Azam TV vipi tena?

Azam TV vipi tena?

godson Lomayani

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
538
Reaction score
711
Licha ya kulipia package ya Tshs 23,000/= lakini tangu juzi nimekuwa sizipati baadhi ya channel kama:
1. AZAM SPORT TWO
2. AZAM HD
NICKELODEON
4. TBC ONE

Na nyingine nyingi tu hazipatikani, sasa sijajua shida iko wapi. Kifurushi changu bado ndio kwanza kina wiki moja tangu nikinunue.

Msaada wenu tafadhali
 
Sasa ndugu hiyo shida si bora ungewatafuta huduma kwa wateja ukapata utatuzi kuliko kufungua thread jF.Hata ukiwatafuta insta,FB na social media nyingine shida yatatuliwa chap kwa haraka.

Sasa hivi ni ukweli na uwazi mkuu mwache alete jamvini ili tujue kama kuna ubabaishaji
 
Ata mie yan wamenikera siku yanga wamekata wakati nimelipia 22/8/20 tarehe 30/8/20 yamekata et nikalipe tena yan cha mwezi yanakata wik mxuuuu
 
Sasa ndugu hiyo shida si bora ungewatafuta huduma kwa wateja ukapata utatuzi kuliko kufungua thread jF.Hata ukiwatafuta insta,FB na social media nyingine shida yatatuliwa chap kwa haraka.

Hapana jamaa wasumbua namba zao hazipatikan kabisaa mpk huende Instagram ndo wanajibu yan wameshalewa sifa na faida naona sasa
 
Uzi wako umeunajisi kwa kulalamikia eti hupati sijui tb nini one...!
Wengine tunatafuta njia ya kulifuta hilo lichanel kabisa kwenye ving'amuzi vyetu!
 
Hahahahaa! ni kwa ajili ya kufuatilia mwenendo mzima wa Kampeni,huwa hawa wanaonyesha kwa kirefu.
Uzi wako umeunajisi kwa kulalamikia eti hupati sijui tb nini one...!
Wengine tunatafuta njia ya kulifuta hilo lichanel kabisa kwenye ving'amuzi vyetu!
 
Uzi wako umeunajisi kwa kulalamikia eti hupati sijui tb nini one...!
Wengine tunatafuta njia ya kulifuta hilo lichanel kabisa kwenye ving'amuzi vyetu!
Hata mm nimeshangaa kuitaja TBC ccm aisee,hivi kuna mtu aliye vizuri kabisa upstairs anaangalia huo ujinga??
 
Hio NICKOLODEAN channel iblock kwa usalama wa watoto wako,sometimes ina katuni zenye maudhui ya mambo ya kishoga.
 
Back
Top Bottom