godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
- Thread starter
- #21
Mkuu nitafuatilia kubaini hiki ulichokisema then ntachukua hatua mara moja.Hio NICKOLODEAN channel iblock kwa usalama wa watoto wako,sometimes ina katuni zenye maudhui ya mambo ya kishoga.