Azam tv sio burudani kwa wote ni burudani kwa waturuki. Mnaboa sasa

Kwnn nitazame vngne namm nimelipia kutazama tamthiliya zilizotiwa sauti ya kiswahili ambazo znapatikana Azam Two tu
Sasa kama mpaka umelipia ulikuwa huyajui hayo??Mbona hizo za kituruki zimetiwa sauti za kiswahili??au ulitaka kiswahili cha kituruki?? au chuki za udini zinakusumbua??,,Kikiisha nakushauri usilipie tena,, lipia kile kinachokupa uyatakayo
 
Sasa kama mpaka umelipia ulikuwa huyajui hayo??Mbona hizo za kituruki zimetiwa sauti za kiswahili??au ulitaka kiswahili cha kituruki?? au chuki za udini zinakusumbua??,,Kikiisha nakushauri usilipie tena,, lipia kile kinachokupa uyatakayo
Proud to be umekurupuka! Rudia kusoma nilichoandika itakusaidia
 
Me nikiona mwanaume anafaatilia zile tamthilia za kituruki zile ambazo zimeingizwa saut ya kiswahil, namtoa maanani kwa kweli
Nalipia kingamuzi kwa ajili ya mpira tu ayo mambo ya tamthilia namuachia wife na watoto.
 
Proud to be umekurupuka! Rudia kusoma nilichoandika itakusaidia
Sasa swala la kusema na kuja kuandika humu filamu zao nyingi zinaonyesha dola za kiislamu zikishinda dhidi ya dola za kikristo,,,ulikuwa unamaanisha nini??na kwani filamu zikiwa hivyo wewe unapungukiwa nini??
 
Sasa swala la kusema na kuja kuandika humu filamu zao nyingi zinaonyesha dola za kiislamu zikishinda dhidi ya dola za kikristo,,,ulikuwa unamaanisha nini??na kwani filamu zikiwa hivyo wewe unapungukiwa nini??
Nilikuwa namaanisha wameshaonesha nyingi sana za hivyo na nimezitaja kwa majina so imetosha waweke za aina nyingine mana hatulipii kuangalia maudhui hayo hayo kila siku. VIPI HAPO PROUD TO BE BADO TUPO PAMOJA?
 
Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.

Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.

Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA

Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.

Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.

OVER.
Mimi huwa naangalia sinema zetu
Jana nikawakuta wanaangalia hizo za kituruki
Nikawaambia hii si ndio ile Ottoman wanasema" Mungu ni mkubwa"
Nikashangaa naambiwa ni nyingine .
 
Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.

Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.

Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA

Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.

Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.

OVER.
Mkuu hiyo TV imeanzishwa kwa ajili ya wavaa makobasi. Sasa wewe unaenda kuingalia unafuata nini huko. Tafuta king'amuzi kinachokidhi haja zako.
 
Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.

Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.

Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA

Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.

Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.

OVER.
Kwa nini unaumiza kichwa kwa mambo ya kipumbavu
 
Me nikiona mwanaume anafaatilia zile tamthilia za kituruki zile ambazo zimeingizwa saut ya kiswahil, namtoa maanani kwa kweli
Nalipia kingamuzi kwa ajili ya mpira tu ayo mambo ya tamthilia namuachia wife na watoto.
Sasa unataka unachopenda wewe wote wapende hicho hicho??

Hizi akili ni za kijima na kishamba mno.

Mimi pia siyakubali hayo madudu ila siwezi kumbeza anaependa kuyaangalia, kuna watu wengi sio wapenzi wa mpira wa miguu kama ilivyo wabongo wengi wasivyo wapenzi wa michezo mikubwa ya mataifa mengine.

Ukikaa na watu wanaopenda mchezo wa basketball na wana ujima kama wako, basi wewe watakuona kama ngozi ya kalio. Maana na wao hujiona matawi na kudharau/kuona wasioujua au kuupenda mchezo huo ni washamba mno.
 
Back
Top Bottom