Nyanzige30
Member
- Mar 18, 2024
- 99
- 243
- Thread starter
- #21
Umeona eehKwakwe zinachosha alafu ukiangalia 25k parefu
Umeona eehKwakwe zinachosha alafu ukiangalia 25k parefu
Sasa kama mpaka umelipia ulikuwa huyajui hayo??Mbona hizo za kituruki zimetiwa sauti za kiswahili??au ulitaka kiswahili cha kituruki?? au chuki za udini zinakusumbua??,,Kikiisha nakushauri usilipie tena,, lipia kile kinachokupa uyatakayoKwnn nitazame vngne namm nimelipia kutazama tamthiliya zilizotiwa sauti ya kiswahili ambazo znapatikana Azam Two tu
Kaka najiungaje hicho kifurushi?Mkuu haya maisha ya Nini kujitesa, unga unlimited bundle ya halotel elf 50 kwa mwezi ukirudi home pakua movie yoyote unayotaka Toka mtandaoni angalia
Proud to be umekurupuka! Rudia kusoma nilichoandika itakusaidiaSasa kama mpaka umelipia ulikuwa huyajui hayo??Mbona hizo za kituruki zimetiwa sauti za kiswahili??au ulitaka kiswahili cha kituruki?? au chuki za udini zinakusumbua??,,Kikiisha nakushauri usilipie tena,, lipia kile kinachokupa uyatakayo
Hicho king'amuzi ni cha kipumbavu sana!
Yani ni bora startimes mara mia kuliko hako ka decoda kao.
Huwa nawashangaa sana wanaolinganisha huo uchafu na dstv
Sasa swala la kusema na kuja kuandika humu filamu zao nyingi zinaonyesha dola za kiislamu zikishinda dhidi ya dola za kikristo,,,ulikuwa unamaanisha nini??na kwani filamu zikiwa hivyo wewe unapungukiwa nini??Proud to be umekurupuka! Rudia kusoma nilichoandika itakusaidia
Nilikuwa namaanisha wameshaonesha nyingi sana za hivyo na nimezitaja kwa majina so imetosha waweke za aina nyingine mana hatulipii kuangalia maudhui hayo hayo kila siku. VIPI HAPO PROUD TO BE BADO TUPO PAMOJA?Sasa swala la kusema na kuja kuandika humu filamu zao nyingi zinaonyesha dola za kiislamu zikishinda dhidi ya dola za kikristo,,,ulikuwa unamaanisha nini??na kwani filamu zikiwa hivyo wewe unapungukiwa nini??
Mimi huwa naangalia sinema zetuKwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.
Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.
Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA
Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.
Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.
OVER.
Mkuu hiyo TV imeanzishwa kwa ajili ya wavaa makobasi. Sasa wewe unaenda kuingalia unafuata nini huko. Tafuta king'amuzi kinachokidhi haja zako.Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.
Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.
Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA
Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.
Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.
OVER.
Kwa nini unaumiza kichwa kwa mambo ya kipumbavuKwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.
Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.
Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA
Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.
Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.
OVER.
Sasa unataka unachopenda wewe wote wapende hicho hicho??Me nikiona mwanaume anafaatilia zile tamthilia za kituruki zile ambazo zimeingizwa saut ya kiswahil, namtoa maanani kwa kweli
Nalipia kingamuzi kwa ajili ya mpira tu ayo mambo ya tamthilia namuachia wife na watoto.