Azam TV news: Dira ya dunia BBC wakae sawa

Azam TV news: Dira ya dunia BBC wakae sawa

Saa zingine upendo kwa kitu fulani unasababisha watu wawe wajinga. Hivi BBC imeanza jana?
Hiyo BBC swahili haijaanza jana. Na Azam hawata wapita maana BBC swahili yatangaza sehemu nyingi.
 
Kuna kipindi ITV hawakukubali kujiunga na king'amuzi chao watu wakasema mbovu sana eti mzee Mengi mbinafsi na kashfa kibao kumbe walikuwa kwenye makubaliano na sasa ITV inapatikana Azam, ila azam kwa nini hajiungi na visimbuzi vya wenzake au naye ni mbinafsi? Ingekuwaje azam abaki na kisimbuzi chake aoneshe habari yake, ITV wabaki na kisimbuzi chao cha digitek waoneshe habari zao, star tv wakabaki na continental yao wafanye mambo yao na ting pia. Azam angepata watazamaji wa kutosha kweli? Ajiunge na wenzake aache mbwewe huu si unga wa ngano bana.

Its a marketing strategy,kuuza azam two na one,its as the same as Blackberry walivyouza BBM Messanger to a free world of mobile os,nakupelekea watu kutonunua BB.
Waliopeleka chennel zao azam,its coz walishazidiwa nguvu and thats war in business.
Jipange taratibu tu,ununue azam
 
Its a marketing strategy,kuuza azam two na one,its as the same as Blackberry walivyouza BBM Messanger to a free world of mobile os,nakupelekea watu kutonunua BB.
Waliopeleka chennel zao azam,its coz walishazidiwa nguvu and thats war in business.
Jipange taratibu tu,ununue azam
Habari ninazopata ITV zinatosha, ninunue Azam labda kwa kuona Fatma Almas tu.
 
Hizi stori nitaendelea kuzisikia na kuzisomaga tu
Maana nishanunua ving'amuzi viwili toka kujiunga na digital continental na star times
Na sina mpango wa kufuja tena pesa yangu kwa maving'amuzi

Ela yenyewe ngumu sana upatikanaji wake mkuu
 
Hatuna muda nao maana hatuwezi kukusanya mavingamuzi meeengi ndani ya nyumba,, kama wanataka wapate watazamaji wengi wajiunge pia na vingamuzi vingine kama wanavyofanya wengine, otherwise nitaendelea na nilicho nacho tu,, labda wavigawe bure...

Hilo jambo ni la muhimu wafuate ushauri ila wakijiona wao ndio wao basi wasitegemee kujizolea watazamaji wengi zaidi
 
Kwa Dira ya Dunia BBC watasubiri Sana

BBC wapo juu sana,huwezi kuwalinganisha na Azam tv,kwanza BBC hawana umimi wao wapo hata ukiwa na dish lako la c- band unakutana nao
 
mkuu, azam tv wanapatikana king'amuzi gani? maana natumia star times.
 
Haita ka iwezekane. BBC wana mareporter kila pande ya dunia sasa wewe unazungunzia tv ambayo hata hapa bongo tuu kuna baadhi ya maeneo hawana ma reporter?
nakubaliana na wewe ila namna walivyoendesha kipindi leo inavutia sana...unajua mwanzoni tulikereka na hawa azam ila from kusikojulikana leo wamekuja vizuri
 
Anyway.... hutalazimishwa....lakini....dawa ni kununua tu kisimbusi cha Azam...... hao wachina wenye ubia na TBC walishika watu mwanzoni lakini sasa hivi kila kona ni Azam tv......
 
Back
Top Bottom