May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Huwa mnapoonyesha Mechi kumekuwa na timing mbovu pale mnapotaka kurudia tukio fulani kama la faulu, kosakosa ya goli, Golikipa kuokoa mpira wa hatari n.k.
Sidhani kama ni mara zote kuna ulazima wa kurudia papo hapo haswa kama kuna movement inaendelea.
Mnaweza kusubiria hata baadae mpira ukitoka au Kipa akidaka n.k...badala ya ninavyoona mara kadhaa mmekuwa mnakatisha movement na kurudia tukio bila ulazima wowote, huenda ile movement ni muhimu kuliko hicho mnacholazimisha kukirudia.
Pia pale mnapomuonyesha Mchezaji fulani, haswa kwa ukaribu (close up), muwe sensitive pale inapoonekana Mchezaji huyo anataka kupenga, au kutema basi mumuondoe pale pale baada tu ya kufanya hivyo badala ya kuacha tu Watazamaji tunaangalia.
Kutumia camera ni zaidi ya kuseti white balance, hata common sense inahitajika sana maana si kila kitu mtafundishwa darasani.
Sidhani kama ni mara zote kuna ulazima wa kurudia papo hapo haswa kama kuna movement inaendelea.
Mnaweza kusubiria hata baadae mpira ukitoka au Kipa akidaka n.k...badala ya ninavyoona mara kadhaa mmekuwa mnakatisha movement na kurudia tukio bila ulazima wowote, huenda ile movement ni muhimu kuliko hicho mnacholazimisha kukirudia.
Pia pale mnapomuonyesha Mchezaji fulani, haswa kwa ukaribu (close up), muwe sensitive pale inapoonekana Mchezaji huyo anataka kupenga, au kutema basi mumuondoe pale pale baada tu ya kufanya hivyo badala ya kuacha tu Watazamaji tunaangalia.
Kutumia camera ni zaidi ya kuseti white balance, hata common sense inahitajika sana maana si kila kitu mtafundishwa darasani.