Azam TV na tamthiliya ya kishoga. Je, wanalenga nini katika jamii yetu?

G.T.L

JF-Expert Member
Jul 15, 2012
861
1,495
Wakuu, kuna hii Tamthilia inaitwa TWO WIVES inayooneshwa muda wa saa 2:00 usiku channel ya Azam two ina Muigizaji (character) mwenye viashiria vyote kuwa ni Shoga.

1. Sauti waliyoingiza ya Kiswahili ni ya mtu wa jinsi ya kike.

2. Muonekano wa huyu muigizaji ni wa utata

3. Ameigiza akiwa muda mwingi na wanawake

4. Jinsi anavyoongea kwa ishara za mwili (kubinua midomo, kuweka vidole juu, kushika shika kiuno na kuzungusha macho)

SWALI MUHIMU: Je, Azam hawajalibaini hili? Lakini yawezekanaje hawajalibaini wakati huyu muigizaji wamesample sauti yake kwa sauti ya mtu mwanamke?

Je, Azam wamelenga nini katika jamii yetu?

20220618_201122.jpg
20220618_201136.jpg
20220618_201139.jpg
 
Malezi ya watoto kwa sasa ni kuchunga hadi vipind vya TV wanavyo angalia.
Na kesi saivi za ulawiti kwa watoto zimekua nyingi sanaa mpaka kero aseee.
Mkuu Surya pole kwa changamoto za nyumba ya kupanga
 
Hii tamthilia ilishaoneshwa yote kwenye channel ya Azam One kwa lugha ya Kiingereza na subtitles za Kiswahili. Sasa kama walionesha kule na wameamua kuhamishia huku sidhani kama itapigwa chini.

Pia tamthilia za Kifilipino almost zote zinazooneshwa zinakuwa na mtu mwenye elements za ushoga.
 
Kwahiyo Joti anavyovaa Dela na kujifanya Mwanamke ni kuhamasisha USHOGA??

Sanaa iko wapi????
 
Mtoa mada labda kama umeanza kufuatilia Tamthilia kipindi hiki cha karibuni,tamthilia za kifilipino hata za miaka ya nyuma,kipindi ambacho Tamthilia za kigeni ndio zinaanza kupenya bongo,kipindi cha kina the promise,it might be you,timeless n.k......Hao mashoga walikuwepo kwenye Tamthilia na zilioneshwa sana Star TV na TVT kipindi hiko Azam haipo.
 
Mtoa mada labda kama umeanza kufuatilia Tamthilia kipindi hiki cha karibuni,tamthilia za kifilipino hata za miaka ya nyuma,kipindi ambacho Tamthilia za kigeni ndio zinaanza kupenya bongo,kipindi cha kina the promise,it might be you,timeless n.k......Hao mashoga walikuwepo kwenye Tamthilia na zilioneshwa sana Star TV na TVT kipindi hiko Azam haipo.
Na kweli mimi sio mpenzi wa Tamthilia kabisaaa, lakini toka wiki iliyopita nimekua nikirudi nyumbani mapema natulia sebuleni na wife na mtoto sasa huo muda wa saa mbili ndo nikashuhudia hiyo kitu nikamwambia wife huyu character mbona kama shoga kwa muonekano na hata sauti ya kike. Nikashangaa sanaa, ikabidi nimwambie wife kwanzia sasa ikifika saa 2 mwambie mtoto aende kusoma hakuna kuangalia huu ushenzi
 
Hii tamthilia ilishaoneshwa yote kwenye channel ya Azam One kwa lugha ya kiingereza na subtitles za kiswahili. Sasa kama walionesha kule na wameamua kuhamishia huku sidhani kama itapigwa chini.
Pia tamthilia za kifilipino almost zote zinazooneshwa zinakuwa na mtu mwenye elements za ushoga.
Duuh aseee
 
Labda AZAM hawajagundua tu, sio vibaya kama customer wao kuwasaidia kuwajulisha hili.

Najua kabisa wana AZAM media hawakubaliani na huu uchafu.

Tafadhali waibadilishe hii Tamthiliya waweke zenye maadili mazuri yanayoendana na tamaduni zetu Watanzania.
Sahihi kabisa mkuu
 
Na kweli mimi sio mpenzi wa Tamthilia kabisaaa, lakini toka wiki iliyopita nimekua nikirudi nyumbani mapema natulia sebuleni na wife na mtoto sasa huo muda wa saa mbili ndo nikashuhudia hiyo kitu nikamwambia wife huyu character mbona kama shoga kwa muonekano na hata sauti ya kike. Nikashangaa sanaa, ikabidi nimwambie wife kwanzia sasa ikifika saa 2 mwambie mtoto aende kusoma hakuna kuangalia huu ushenzi
Hizi tamthilia na TV huwa zina miongozo ya umri wa kuangalia,kwahiyo mzazi ni bora ukajua kama maudhui ya kipindi husika yanamfaa mwanao.Hongera naona umefanya uamuzi mzuri kumlinda mtoto na huo ushenzi...wakati mwingine hivi vipindi huwa na agenda za siri za kueneza.
 
Back
Top Bottom