Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
- Thread starter
- #21
Mwenye vifurushi vya DSTV atuwekee hapa
Kabisa!(Kwa sauti ya Oscar Oscar supersport 14)Kama sio DSTV potezea
Kuna sisi wengine tulijiunga na Azam Tv ili kuangalia Taarifa ya Habari , na wala siyo kuangalia Mtukufu Sultan .mbona mmewaandama sana azam?
Usikariri sio kila Kituo kinarusha taarifa za habari kwa ufanisi na weledi huwezi linganisha habari za Azam na TBC&Star TVmbona channel zipo nyingi tu,hio taarifa ya habari unaangalia,Tatizo wabongo mna nafsi za kinafki za kulalamika.mbona mnakatiwa umeme na taarifa hampewi,.,,,
ha ha ha ha si mseme tu wawatengenezee kifurushi cha taarifa ya habari.
Subiri 1st August tutajua.Kwani mange kasema je kuhusu hili?
Wanakuwa kama tbchuu ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge...hakuna sentensi inaniudhi kama hii "kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu"
Kama ilivyo timu yao ya MpiraAzam anaanzisjaga mambo vzr halaf anakuja kuharibu baadae