AZAM TV mnaamanisha nini kutulazimisha kuangalia taarifa ya habari via Azam App?

Mbona hawaji kusema chochote, ina maana Hawa pitii hapa jamii forum. Tunaomba mje msema tunawasubiri hapa jamii inapikutana.
 
Siku za hivi karibuni Azam Tv wamekuwa hawarushi taarifa ya habari ya saa mbili usiku kwa kisingizio kuwa ni sababu zilizo nje ya uwezo wao.

Lakini baadae wameanza kutwambia wateja wao tuingalie Azam news via Azam app kwa wenye smart phone.

Jambo hili binafsi linanichanganya, inawezekanaje mrushe taarifa ya habari kupitia App za simu lakini kwenye TV haionekani?

Semeni ukweli kama kuna jambo mnalitafuta na si matatizo ya kiufundi.
Hivi unapoangalia vipindi kupitia Application ya Simu Azam TV wanaingiza chochote
Siku za hivi karibuni Azam Tv wamekuwa hawarushi taarifa ya habari ya saa mbili usiku kwa kisingizio kuwa ni sababu zilizo nje ya uwezo wao.

Lakini baadae wameanza kutwambia wateja wao tuingalie Azam news via Azam app kwa wenye smart phone.

Jambo hili binafsi linanichanganya, inawezekanaje mrushe taarifa ya habari kupitia App za simu lakini kwenye TV haionekani?

Semeni ukweli kama kuna jambo mnalitafuta na si matatizo ya kiufundi.
Hivi tunavyoangalia vipindi vyao katika App kuna faida yeyote wanayoipata?
 
Mimi ni mpenzi mkubwa wa Chaneli ya Azam Two. Sasa yapata wiki taarifa ya habari kupitia Azam Two haionyeshwi. Tunajiuliza kulikoni?. Ni vyema mkatujulisha sababu zinazopelekea taarifa ya habari kutoonyeshwa muda wa saa mbili usiku kila siku.
 
Hawa jamaa si walisema taarifa yao ya habari itakuwa inapatikana kupitia azam app......wajanja sana aisee....kulikuwa na alert inapita kwa chini kwenye screen that day ikitoa that alert.
 
Hawa jamaa si walisema taarifa yao ya habari itakuwa inapatikana kupitia azam app......wajanja sana aisee....kulikuwa na alert inapita kwa chini kwenye screen that day ikitoa that alert.
Kuangalia Tv Kwa App Ni Ghali Sana Kwani Kununua Bando La Internet Si Mchezo.
 
Kifupi ni ubabaishaji tu ndio unaotawala ndio maana wengine wanasema ni bora tuendelee kutawaliwa

Pindi co mzungu ujinga huu haukuwepo Azam TV kuanzia bei ya vifurushi na hata visimbuzi vyenyewe ila toka Tido Mhando amechukua imekuwa shiiiiiidah na tunapata taaaaabu sana
 
Siku za hivi karibuni Azam Tv wamekuwa hawarushi taarifa ya habari ya saa mbili usiku kwa kisingizio kuwa ni sababu zilizo nje ya uwezo wao.

Lakini baadae wameanza kutwambia wateja wao tuingalie Azam news via Azam app kwa wenye smart phone.

Jambo hili binafsi linanichanganya, inawezekanaje mrushe taarifa ya habari kupitia App za simu lakini kwenye TV haionekani?

Semeni ukweli kama kuna jambo mnalitafuta na si matatizo ya kiufundi.
hawa jamii walikuwa wanatumia leseni ya azam group ambayo ilikua na memorundum ya bidhaa ambazo wanazalisha ila ile memorundam haioneshi mambo ya media xo wameifungia kwakukosa leseni
 
Back
Top Bottom