ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,544
Nimesikia kua Tcra wameshafunga mjadala wa swala la channels kuonekana.
Nachotaka kujua je kwa maamuzi yaliyopo Azam hata akiomba kibali cha kurusha taarifa ya habari na mshike mshike (Michezo) anaweza pata? Au ndio basi tena?
Sielewi tatizo linakua wapi, yaani ugumu ni nini hasa kwa tv kufikia kutangaza habarihabari,
Cha kushangaza zaidi Azam wanarusha habari kupitia App yao, pia wanarusha habari kupitia Azam Fm(Uhai)
Sasa inashangaza huko walipata vibali? Au shida ni Video?
Nimeizoea na kuipenda sana Azam tv,
Hakika hili lililotokea limefadhaisha sana.
Azam ombeni Kibali tafadhali.tumewamiss Charles Hilary na dada Ivonna
Nachotaka kujua je kwa maamuzi yaliyopo Azam hata akiomba kibali cha kurusha taarifa ya habari na mshike mshike (Michezo) anaweza pata? Au ndio basi tena?
Sielewi tatizo linakua wapi, yaani ugumu ni nini hasa kwa tv kufikia kutangaza habarihabari,
Cha kushangaza zaidi Azam wanarusha habari kupitia App yao, pia wanarusha habari kupitia Azam Fm(Uhai)
Sasa inashangaza huko walipata vibali? Au shida ni Video?
Nimeizoea na kuipenda sana Azam tv,
Hakika hili lililotokea limefadhaisha sana.
Azam ombeni Kibali tafadhali.tumewamiss Charles Hilary na dada Ivonna