Hizi namba 0764700222,0784108000,0659072002 leo hazifanyi kazi?mnasherekea sikukuu? Tunataka huduma,kuweni serious bhana..Yaani unaambiwa ujague lugha unachakua afu inajirudia chagua lugha yaani no respond..Hacheni uzembe kitengo husika
Mmeanza kutumia Azam lini nyie? Mimi nimeanza kutumia 2014 wakati inaanza na nikipata shida napiga Landline yao 0225508080 customer care,hizo mobile mara nyingi zinakuwa na shida.
Hizi namba 0764700222,0784108000,0659072002 leo hazifanyi kazi?mnasherekea sikukuu? Tunataka huduma,kuweni serious bhana..Yaani unaambiwa ujague lugha unachakua afu inajirudia chagua lugha yaani no respond..Hacheni uzembe kitengo husika
Mmeanza kutumia Azam lini nyie? Mimi nimeanza kutumia 2014 wakati inaanza na nikipata shida napiga Landline yao 0225508080 customer care,hizo mobile mara nyingi zinakuwa na shida.
Nitumie email address yao,lakini ni uzembe wa hali ya juu,wazungu watazidi kutushangaa sana,una namba zaidi ya tatu za customers care afu zero response!ridiculous..
Nitumie email address yao,lakini ni uzembe wa hali ya juu,wazungu watazidi kutushangaa sana,una namba zaidi ya tatu za customers care afu zero response!ridiculous..