KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 525
- 1,100
Salam,
Nimeshanunua Dstv na Bado sijaifunga mpaka next week. Ila Bado napata utata mpaka nawaza nibadili gear ninunue decorder ya Azam Kwa namna raia wanavoiponda Dstv.
Wanadai kwamba Dstv inaganda na wanarudia rudia vipindi sana.
Ushauri wenu, Dstv na Azam nani zaidi ?
Nimeshanunua Dstv na Bado sijaifunga mpaka next week. Ila Bado napata utata mpaka nawaza nibadili gear ninunue decorder ya Azam Kwa namna raia wanavoiponda Dstv.
Wanadai kwamba Dstv inaganda na wanarudia rudia vipindi sana.
Ushauri wenu, Dstv na Azam nani zaidi ?