ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,260 Jan 6, 2024 #41 AZAM nafata mpira tu, tofauti na hapo wana upuuzi mwingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....
Limbalangule Senior Member Joined Jun 14, 2023 Posts 133 Reaction score 266 Jan 6, 2024 #42 moudgulf said: Weka zote mbili. Kuna wakati utahitaji vipindi vya DStv na kuna muda Azam utaikunbuka. Click to expand... Ushauri mzuri,wakati wa kulipia unaangalia tu wapi Kuna matukio Muhimu ndo unalipia,kama mfuko unaruhusu unalipia kote.
moudgulf said: Weka zote mbili. Kuna wakati utahitaji vipindi vya DStv na kuna muda Azam utaikunbuka. Click to expand... Ushauri mzuri,wakati wa kulipia unaangalia tu wapi Kuna matukio Muhimu ndo unalipia,kama mfuko unaruhusu unalipia kote.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,086 Reaction score 185,372 Jan 6, 2024 #43 Wote wanajitahidi...