Azam Media Group

Azam Media Group

Tunakisubiri hicho Kisimbuzi. Je kitakuwa ni sh. ngapi kwa kukinunua na pia sh ngapi kama malipo ya mwezi
 
Je kitacover mpaka mikoani au ni dsm tu? Niko ludewa porini sana nahitaji kujua kwani nilitaka nifunge dstv msimu huu.
 
nafikiri itakuwa mbaka mikoani maana wanatumia dishi
 
dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa

..............chimba kaburi kabisa na kama wewe ni kibonge anza kupunguza uzito ili usitusumbue tutakaobeba maiti yako
 
Huenda Digitek,Continental,Star Times wakakosa kabisa wateja
 
Star tv wametangaza kuwa tayari TFF imeshaingia mkataba na Azam media kuonyesha ligi kuu tanzania bara ,kwa hiyo kitakuwepo
 
Star tv wametangaza kuwa tayari TFF imeshaingia mkataba na Azam media kuonyesha ligi kuu tanzania bara ,kwa hiyo kitakuwepo

Yaaaah, hii kitu ni ya uhakika,, mwez wa nane hapo mzigo unakuwa on air!! Andaa buku mbili zako mapemaaa za malipo ya mwez
 
Back
Top Bottom