Ni hawahawa watu wa media wanaofungiwa vyombo vyao au kupigwa faini na Lissu amekuwa mtetezi wao subirini siku nchi hii ikipata Uhuru mtatafuta pa kutokea mbwa nyie.wanaomiliki magazeti, radio na runinga mmezidi kuogopa. Yaani wamekuwa kama baradhauli wakimuona basha wanavua chupi kabisa. To hell na mlaaniwe yaani unamuogopa binadamu mwenzako kiasi hicho. Kwenye kampoeni itakuwaje, hiyo inaonesha kuwa vyama vya upinzani vitakosa coverage kwenye media. Hongera sana jamii forum kuruhusu clip za vyama vya upinzani kurushwa humu.
Actual mie niliwashtua tanzania daima sometimes in december last year kuwa wasiandike chochote kuhusu bwana yule na chama chake manake lazima watafute sababu ya kutupwa lupango hadi uchaguzi uishe na kweli yametokeaTanzania Daima likafungiwa
Bwana yule anaogopa ushindani na kukosolewa.
Media za bongo almost zote zinasifia mamlaka sasa hivi.
Hivi mtu unakuwaje mwoga kiasi hiki hadi kukosoa unashindwa!!
Kama ingewezekana watu wangeacha kuangalia TV za TZ na kuacha kununua magazeti na kusikiliza radio mpk baada ya uchaguzi. Mie frankly speaking niliacha kuangalia Star TV na TBC tokea 2015.Ni jambo linalopaswa kulaaniwa sana..
Watu wamekuwa wazarendo kwa nchi yaoNa Malisa
Nimekuwa nikisoma kwenye vitabu na sasa nashuhudia kwa macho. Uhuru wa habari unakanyagwa na watu hawathubutu kukemea kwa sababu ya HOFU. Vyombo vya habari vilivyoalikwa kuripoti tukio la Lissu kuchukua fomu havijatokea kwa sababu ya HOFU.
Azam wakavuka kiunzi cha HOFU na kwenda kuripoti. Lakini ghafla wakakatisha matangazo na kufuta post zote zinazohusu Lissu kuchukua fomu. Nimeshangaa sana.
Kuna watu wanashangilia kuona uhuru wa habari ukiminywa ili wafurahishe mamlaka. Na wengine wanaogopa kukemea ili nao wasiingie kwenye makucha ya mamlaka. Tukifika hapa hakuna aliye salama.
Jana @advocate_jebra alieleza kisa cha Simba na Kondoo. Simba alifungiwa kwenye kizimba kwa siku kadhaa. Akawa anatafuta msaada wa kufunguliwa kwa nje. Kondoo akapita. Simba akamwambia nifungulie naahidi sitakula. Kondoo akamwambia Simba apa, akaapa. Kondoo akamfungulia.
Alipotoka akamrarua kondoo na kutaka kumla maana alikua na njaa ya siku kadhaa alizofungiwa kwenye kizimba. Wanyama wengine wakapita wakakuta Simba na Kondoo wakizozana. Kondoo akajielezea, Simba nae akajielezea. Simba akakiri ni kweli aliahidi hatamla kondoo lakini ana njaa ya siku 3 afanyeje?
Wanyama wote kwa sababu ya HOFU wakaunga mkono maelezo ya Simba kuwa amle tu kondoo, maana alikua na njaa.
Kobe akasema hajaelewa mkasa huo vizuri. Akamuuliza Simba unasema ulifungiwa kwenye kizimba? Simba akajibu ndio. Akamuuliza kipi? Akamwambia kile pale? Akamuuliza mbona kidogo sana? Uliwezaje kukaa humo? Simba akasema nilikuwemo. Kobe akamwambia hebu ingia tuone kama kweli uliweza kuenea humo. Simba akaingia, kobe akafunga komeo kwa nje na kuondoka.
Kobe akawaambia wanyama wenzie. Leo Simba angemla kondoo mngejiona mko salama kwa sababu si nyie mmeliwa. Lakini kesho angepata njaa tena, na hatujui ingekua zamu ya nani.
Ukiogopa kukemea uonevu haimaanishi kwamba upo salama. Inamaanisha umejiweka kwenye hatari zaidi. Leo vyombo vyote vimeungana na mamlaka kuzuia habari za Lissu. Nilipoona Azam wamerusha matangazo nikasema angalau tumempata Kobe wa kuokoa wenzie. Mara ghafla kobe huyo nae akaungana na wenzie kumtetea Simba amle kondoo. Bila kujua kesho Simba atapata njaa tena na hawajui itakua zamu ya nani. #Subhanallah
Dawa ya vyombo Kama hivyo vikiendelea no kususia bidhaa zao.Na Malisa
Nimekuwa nikisoma kwenye vitabu na sasa nashuhudia kwa macho. Uhuru wa habari unakanyagwa na watu hawathubutu kukemea kwa sababu ya HOFU. Vyombo vya habari vilivyoalikwa kuripoti tukio la Lissu kuchukua fomu havijatokea kwa sababu ya HOFU.
Azam wakavuka kiunzi cha HOFU na kwenda kuripoti. Lakini ghafla wakakatisha matangazo na kufuta post zote zinazohusu Lissu kuchukua fomu. Nimeshangaa sana.
Kuna watu wanashangilia kuona uhuru wa habari ukiminywa ili wafurahishe mamlaka. Na wengine wanaogopa kukemea ili nao wasiingie kwenye makucha ya mamlaka. Tukifika hapa hakuna aliye salama.
Jana @advocate_jebra alieleza kisa cha Simba na Kondoo. Simba alifungiwa kwenye kizimba kwa siku kadhaa. Akawa anatafuta msaada wa kufunguliwa kwa nje. Kondoo akapita. Simba akamwambia nifungulie naahidi sitakula. Kondoo akamwambia Simba apa, akaapa. Kondoo akamfungulia.
Alipotoka akamrarua kondoo na kutaka kumla maana alikua na njaa ya siku kadhaa alizofungiwa kwenye kizimba. Wanyama wengine wakapita wakakuta Simba na Kondoo wakizozana. Kondoo akajielezea, Simba nae akajielezea. Simba akakiri ni kweli aliahidi hatamla kondoo lakini ana njaa ya siku 3 afanyeje?
Wanyama wote kwa sababu ya HOFU wakaunga mkono maelezo ya Simba kuwa amle tu kondoo, maana alikua na njaa.
Kobe akasema hajaelewa mkasa huo vizuri. Akamuuliza Simba unasema ulifungiwa kwenye kizimba? Simba akajibu ndio. Akamuuliza kipi? Akamwambia kile pale? Akamuuliza mbona kidogo sana? Uliwezaje kukaa humo? Simba akasema nilikuwemo. Kobe akamwambia hebu ingia tuone kama kweli uliweza kuenea humo. Simba akaingia, kobe akafunga komeo kwa nje na kuondoka.
Kobe akawaambia wanyama wenzie. Leo Simba angemla kondoo mngejiona mko salama kwa sababu si nyie mmeliwa. Lakini kesho angepata njaa tena, na hatujui ingekua zamu ya nani.
Ukiogopa kukemea uonevu haimaanishi kwamba upo salama. Inamaanisha umejiweka kwenye hatari zaidi. Leo vyombo vyote vimeungana na mamlaka kuzuia habari za Lissu. Nilipoona Azam wamerusha matangazo nikasema angalau tumempata Kobe wa kuokoa wenzie. Mara ghafla kobe huyo nae akaungana na wenzie kumtetea Simba amle kondoo. Bila kujua kesho Simba atapata njaa tena na hawajui itakua zamu ya nani. #Subhanallah
mamako wewe usijitambuaMammako
msiangalie programu zao tu . ni rahisi na inawezekanaDawa ya vyombo Kama hivyo vikiendelea no kususia bidhaa zao.
Mabeneru yanayopendwa na ccm kisiri siri hadi yanawajaza mimba za uchumi wa kati? Mabeberu si mchezo!Lissu akawe rais wa mabeberu
Watu wamekuwa wazarendo kwa nchi yao
Wakati mgombea wenu anatukana nchi mlikemea?
Wakati mgombea wenu anashirikiana na wezi wa Mali zetu mlikemea?
Wakati kuzi mgombea wenu anautangazia ulimwengu kuwa Tanzania Corona imejaa na watu wanakufa wengi mlimkea?
Wakati mgombea wenu anautangazia kuruhusu ushoga akishinda urais mlimkemea?
Navipongeza vyombo vya habari kwa kukataa kutumika kwa mtu asiye na mapenzi na nchi yake
Na muelewe , kurusha matangazo live ni gharama, mgombea wenu amewalipa shilingi ngapi?
Wakati watanzania wamefunga mkanda na kulipa Kodi, yeye alikuwa Ulaya anakula mishikaki!
Amechangia shilingi ngapi kwenye uchumi wa Tanzania huyo mgombea wenu
Tv,king'amuzi na umeme nigharimikie mie halafu niangalie ujinga wa kula mahindi barabarani!!!!!!! Walahi dunia naisimamisha na kuteremka. Shenzi type.Kama ingewezekana watu wangeacha kuangalia TV za TZ na kuacha kununua magazeti na kusikiliza radio mpk baada ya uchaguzi. Mie frankly speaking niliacha kuangalia Star TV na TBC tokea 2015.
Advocate msomi anaongea vitu vya kipuuzi vya Abunuwas toka lini wanyama wakaongea lugha na kuelewana Kobe na SimbaNa Malisa
Nimekuwa nikisoma kwenye vitabu na sasa nashuhudia kwa macho. Uhuru wa habari unakanyagwa na watu hawathubutu kukemea kwa sababu ya HOFU. Vyombo vya habari vilivyoalikwa kuripoti tukio la Lissu kuchukua fomu havijatokea kwa sababu ya HOFU.
Azam wakavuka kiunzi cha HOFU na kwenda kuripoti. Lakini ghafla wakakatisha matangazo na kufuta post zote zinazohusu Lissu kuchukua fomu. Nimeshangaa sana.
Kuna watu wanashangilia kuona uhuru wa habari ukiminywa ili wafurahishe mamlaka. Na wengine wanaogopa kukemea ili nao wasiingie kwenye makucha ya mamlaka. Tukifika hapa hakuna aliye salama.
Jana @advocate_jebra alieleza kisa cha Simba na Kondoo. Simba alifungiwa kwenye kizimba kwa siku kadhaa. Akawa anatafuta msaada wa kufunguliwa kwa nje. Kondoo akapita. Simba akamwambia nifungulie naahidi sitakula. Kondoo akamwambia Simba apa, akaapa. Kondoo akamfungulia.
Alipotoka akamrarua kondoo na kutaka kumla maana alikua na njaa ya siku kadhaa alizofungiwa kwenye kizimba. Wanyama wengine wakapita wakakuta Simba na Kondoo wakizozana. Kondoo akajielezea, Simba nae akajielezea. Simba akakiri ni kweli aliahidi hatamla kondoo lakini ana njaa ya siku 3 afanyeje?
Wanyama wote kwa sababu ya HOFU wakaunga mkono maelezo ya Simba kuwa amle tu kondoo, maana alikua na njaa.
Kobe akasema hajaelewa mkasa huo vizuri. Akamuuliza Simba unasema ulifungiwa kwenye kizimba? Simba akajibu ndio. Akamuuliza kipi? Akamwambia kile pale? Akamuuliza mbona kidogo sana? Uliwezaje kukaa humo? Simba akasema nilikuwemo. Kobe akamwambia hebu ingia tuone kama kweli uliweza kuenea humo. Simba akaingia, kobe akafunga komeo kwa nje na kuondoka.
Kobe akawaambia wanyama wenzie. Leo Simba angemla kondoo mngejiona mko salama kwa sababu si nyie mmeliwa. Lakini kesho angepata njaa tena, na hatujui ingekua zamu ya nani.
Ukiogopa kukemea uonevu haimaanishi kwamba upo salama. Inamaanisha umejiweka kwenye hatari zaidi. Leo vyombo vyote vimeungana na mamlaka kuzuia habari za Lissu. Nilipoona Azam wamerusha matangazo nikasema angalau tumempata Kobe wa kuokoa wenzie. Mara ghafla kobe huyo nae akaungana na wenzie kumtetea Simba amle kondoo. Bila kujua kesho Simba atapata njaa tena na hawajui itakua zamu ya nani. #Subhanallah
Hakuna bure Duniani!fumbua macho uone the big picture. Usiwe mjinga ktk utandawazi huu.
Sikuwahi kujua kama jamaa ni mpumbavu kiasi hiki
CHADEMA wajiandae. Kampeni za mgombea wao hazitakuwa "covered". Watafute njia mbadala.