Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,984
- 103,357
Nao wamezidi hata kionline TV hawana
So unahalalisha kinachoendelea. Tanzania daima limefungiwa, TV ya Maria Sarungi imefungiwa kisa haiimbi nyimbo za watawala. Je haki la Online TV kama wangekuwa nako ndio kangesalimika?