Huyu mtu. Anauwezo mkubwa sana alitaka kuweka treni hapa tz naona kama amekataliwa sasa lipo malawi linapiga kazi
kwa vile pesa za kununua ndege ya klabu imetokana na mapato ya klabu ni sawa tu hata wanunue tireni.
Amemaliza kununua marefa na mechi za Simba ameamua kununua ndege.
TRA fanyeni kazi yenu huyu asiwe anakwepa kodi. Kwa kibano hicho ataacha kufanya kufuru hizi.
Acha fitna we mnazi wa yanga. Inaonekana Azam fc imeshawavuruga sana. Shwain wakubwa.
hivi ni kweli inawezekana huyu jamaa anakwepa kodi au????
anaomba leseni bila ya hiyo ndege kununuliwa na kukaguliwa ubora na vigezo vingine?? kiutaratibu lazima uwe na ndege tayari iliyokwishanunuliwa ili uweze kuomba kibali, unachotuambia wewe ni sawa sawa na mtu kunywa maji ndio ameze dawa, badala ya kunywa dawa ndio ameze maji!Mmiliki wa Azam FC said s.Bakhresa amewasilisha maombi ya kupata leseni kurusha ndege kwa ajili ya timu ya mpira wa miguu Azam Fc.Maombi hayo yameshapokelewa na TCAA
anaomba leseni bila ya hiyo ndege kununuliwa na kukaguliwa ubora na vigezo vingine?? kiutaratibu lazima uwe na ndege tayari iliyokwishanunuliwa ili uweze kuomba kibali, unachotuambia wewe ni sawa sawa na mtu kunywa maji ndio ameze dawa, badala ya kunywa dawa ndio ameze maji!
TRA fanyeni kazi yenu huyu asiwe anakwepa kodi. Kwa kibano hicho ataacha kufanya kufuru hizi.
Wewe fuatilia tu uone ni nani mfanyabiashara mkubwa kama yeye lakini anayeongoza kwa kulipa kodi ni Dr. Kimei kupitia benki yake ya CRDB, hapo unapata ujumbe gani Mkuu?
Enzi za Mwalimu na Sokoine angekuwa amekamatwa kwa kuhujumu uchumi wa Taifa hili.
Kulipa kodi imekuwa fitina Mkuu? Huyu jamaa anakwepa sana kodi, TRA wakifanya kazi yao barabara huyu atakuwa mlipa kodi mkubwa kuliko wote hapa TZ kwani ana biashara nyingi sana. Sasa cha ajabu mlipa kodi mkubwa wa Tanzania siyo yeye, je hapo unaelewa kitu gani kinaendelea?
Yanga ni chama kubwa lisilovurugwa na timu yoyote, hao azam wanalibip tu likipiga watalia, waulize Simba watakuambia.
Amemaliza kununua marefa na mechi za Simba ameamua kununua ndege.
Kulipa kodi imekuwa fitina Mkuu? Huyu jamaa anakwepa sana kodi, TRA wakifanya kazi yao barabara huyu atakuwa mlipa kodi mkubwa kuliko wote hapa TZ kwani ana biashara nyingi sana. Sasa cha ajabu mlipa kodi mkubwa wa Tanzania siyo yeye, je hapo unaelewa kitu gani kinaendelea?
Yanga ni chama kubwa lisilovurugwa na timu yoyote, hao azam wanalibip tu likipiga watalia, waulize Simba watakuambia.
you just as ignorant and dumb as a donkey! you know nothing about tax issues! wewe unafanya kazi TRA, una ushahidi gani kuwa halipi kodi? unaweza kutuamabia yusuf manji analipa sh ngapi TRA kama kodi?