Azam FC Kununua Ndege kubwa!!!

Azam FC Kununua Ndege kubwa!!!

Tusubirino hadi hiyo ndege ije maana naamini kwa mpira wa Tanzania bado sana timu kumiliki ndege hata ingekuwa ile ya 500,000 tsh
 
Nami naongeza....Ukiona bidhaa za azam usipate presha. Siku utakapokosea kupanda boti ya azam, jirushe baharini.

Hiyo boti niipande nikienda wapi? Sitakaa nikanyage Zanzibar hadi mauti yatakaponikuta. Mimi ni Mtanganyika halisi Simiyu ndani a.k.a Bariadi Line.
 
Mkuu umepatia, uamuzi wa kunipuuza ni wako. Kwa hakika Simba siipendi lakini Azam naichukia mno mno. Hivi sasa nimeacha kutumia products zao zote maana tunawakuzia biashara na kuwapa nafasi ya kufanya kufuru. Nikiona maandazi ya Azam ni kama mavi ya punda, nikiona ice cream za Azam ni kama maji machafu yatokayo sehemu za siri, nikiona maji ya Azam ni kama mkojo wa choo cha baa n. k. mengine ongezeeni jamani.
ha ha ha ha ha! you are more than a crazy donkey!
 
Nami naongeza....Ukiona bidhaa za azam usipate presha. Siku utakapokosea kupanda boti ya azam, jirushe baharini.

ha ha ha ha! mkuu hajitambui huyo! ukiona mtu anakataa kuvaa jezi yenye doa jekundu na wakati huo huo damu yake ni nyekundu jua akili yake ina matatizo!
 
Kulipa kodi imekuwa fitina Mkuu? Huyu jamaa anakwepa sana kodi, TRA wakifanya kazi yao barabara huyu atakuwa mlipa kodi mkubwa kuliko wote hapa TZ kwani ana biashara nyingi sana. Sasa cha ajabu mlipa kodi mkubwa wa Tanzania siyo yeye, je hapo unaelewa kitu gani kinaendelea?

Yanga ni chama kubwa lisilovurugwa na timu yoyote, hao azam wanalibip tu likipiga watalia, waulize Simba watakuambia.

mbona povu tenaaaaa
 
anaomba leseni bila ya hiyo ndege kununuliwa na kukaguliwa ubora na vigezo vingine?? kiutaratibu lazima uwe na ndege tayari iliyokwishanunuliwa ili uweze kuomba kibali, unachotuambia wewe ni sawa sawa na mtu kunywa maji ndio ameze dawa, badala ya kunywa dawa ndio ameze maji!

Kwani haiwezekani!yote inawezekana dah,
 
Mkuu umepatia, uamuzi wa kunipuuza ni wako. Kwa hakika Simba siipendi lakini Azam naichukia mno mno. Hivi sasa nimeacha kutumia products zao zote maana tunawakuzia biashara na kuwapa nafasi ya kufanya kufuru. Nikiona maandazi ya Azam ni kama mavi ya punda, nikiona ice cream za Azam ni kama maji machafu yatokayo sehemu za siri, nikiona maji ya Azam ni kama mkojo wa choo cha baa n. k. mengine ongezeeni jamani.

maandazi mengine na chapati wanatumia unga wake,sasa sijui utakuwa unauliza kabla ya kununua
 
maandazi mengine na chapati wanatumia unga wake,sasa sijui utakuwa unauliza kabla ya kununua

Mimi na ngano tuko mbali kama mashariki na magharibi zilivyo. Mimi natumia viazi vitamu na uji wa mtama uliowekewa ukwaju au ubuyu, huyo azam na bidhaa zake alie tu hanipati ng'o!
 
Back
Top Bottom