Mmiliki wa Azam FC said s.Bakhresa amewasilisha maombi ya kupata leseni kurusha ndege kwa ajili ya timu ya mpira wa miguu Azam Fc.Maombi hayo yameshapokelewa na TCAA
Yaani hiyo ndege ndio kuwekeza kwenyewe au matokeo ya uwekezaji?Duuuuu, kweli mpira ni kuwekeza! Simba na yanga wasahau kombe kwa muda mrefu, serengeti nao waibebe mbeya city ili heshima iwepo kwenye soka letu.
nani kwa kwambia kuwa hiyo ndege au hata uwanja umetokana na mpira!sasa wewe unataka uwalinganisha yanga na simba kivipato na hao azam!Duuuuu, kweli mpira ni kuwekeza! Simba na yanga wasahau kombe kwa muda mrefu, serengeti nao waibebe mbeya city ili heshima iwepo kwenye soka letu.
yaani mpaka sunche na kapeto waombe poo...Mmiliki wa Azam FC said s.Bakhresa amewasilisha maombi ya kupata leseni kurusha ndege kwa ajili ya timu ya mpira wa miguu Azam Fc.Maombi hayo yameshapokelewa na TCAA
Wakimaliza wachukue Air Tanzania .......
Mmiliki wa Azam FC said s.Bakhresa amewasilisha maombi ya kupata leseni kurusha ndege kwa ajili ya timu ya mpira wa miguu Azam Fc.Maombi hayo yameshapokelewa na TCAA
TRA fanyeni kazi yenu huyu asiwe anakwepa kodi. Kwa kibano hicho ataacha kufanya kufuru hizi.