nenda kituo cha bia ukiwa unatoka njiro nyumba ya kwanzainatazamana na supr market iliyokuwa inaitwa mr price zamani.
sitaki zawadi ukishampata mbwa wako katoe hiyo zawadi kituo cha watoto yatima.
Now is found. Si ndo huyu hapa sasa wory not.View attachment 64809
Kwa Yeyote atakayefanikiwa kumwona apige namba zifuatazo:
+255 784 215 559
+255 767 215 559
+255 753 161 299
Mkuu nimefika pale, karibu na kwa waziri Nyalandu, nimemkuta kama yule lakini siyo mwenyewe!
Thanks
Kama kuna Wachina jirani zako, kapekuwe mapipa utaambulia mifupa.
Ile bar walioshikwa wanauza nyama ya mbwa Moshi, vipi?
Wahehe wamemwacha kweli?
Now is found. Si ndo huyu hapa sasa wory not.
Mkuu ndiyo maana natoa taarifa kwa yeyote mwenye taarifa! Anavyopenda kucheza, it is more that a dog, nyumbani hakukaliki!
Nikipewa taarifa na kuthibitika kuwa wahehe hawajamwacha nayo itakuwa ni taarifa!
Now is found. Si ndo huyu hapa sasa wory not.