Mr Geniuz Km
Member
- Aug 27, 2017
- 14
- 14
Mimi ni Dereva , mwenye leseni pia ni Mtaalam wa Matatizo ya Gari.
Yeyote mwenye uhitaji wa Dereva wa Gari yake nipo Tayari kufanya nae kazi .
Nna uzoefu wa miaka 8 wa udereva na uzoefu wa miaka 6 wa Matengenezo ya Magari .
Taaluma zote mbili za Udereva na matengenezo ya Magari nimesoma kwenye vyuo vinavotambulika na serikali . Hivyo, nina uwezo wa kulilinda na kulitunza Gari lako wakati wote . naahidi kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa na kwa weledi wa kitaaluma kwakuzingatia maagizo ya kiongozi wangu wa kazi ( Tajiri yangu ).
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa Dereva
Awasiliane na Mimi kwa namba zifuatazo
+255 766 138 288 au
Kwa Email
Ketsexpert@gmail.com
NAENDESHA GARI AINA YEYOTE
NATANGULIZA SHUKRANI .
Yeyote mwenye uhitaji wa Dereva wa Gari yake nipo Tayari kufanya nae kazi .
Nna uzoefu wa miaka 8 wa udereva na uzoefu wa miaka 6 wa Matengenezo ya Magari .
Taaluma zote mbili za Udereva na matengenezo ya Magari nimesoma kwenye vyuo vinavotambulika na serikali . Hivyo, nina uwezo wa kulilinda na kulitunza Gari lako wakati wote . naahidi kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa na kwa weledi wa kitaaluma kwakuzingatia maagizo ya kiongozi wangu wa kazi ( Tajiri yangu ).
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa Dereva
Awasiliane na Mimi kwa namba zifuatazo
+255 766 138 288 au
Kwa Email
Ketsexpert@gmail.com
NAENDESHA GARI AINA YEYOTE
NATANGULIZA SHUKRANI .