LOGORIDDIM
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,622
- 1,196
Habari za leo wandugu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Jina: Amedeus Apolinary Masawe
Umri: Miaka 14
Siku ya mwisho alikuwa amevaa track suit ya kijivu na mistari myeupe pembeni, t shirt ya rangi bluu na viatu rangi nyeusi.
Mahali anapoishi na wazazi wake ni Njedengwa, Dodoma.
Amepotea kutokea tarehe 13 Dec 2021 alipotoka tuition eneo la Uhindini Dodoma mjini.
Yeyote atakayemuona tafadhali toa taarifa kituo chochote cha polisi kilicho jirani au piga simu namba
0683931774 au 0786826173
Naomba tusaidiane kusambaza katika maGroup mbalimbali ya mtandaoni.
Naambatanisha picha yake.
UPDATES
Jina: Amedeus Apolinary Masawe
Umri: Miaka 14
Siku ya mwisho alikuwa amevaa track suit ya kijivu na mistari myeupe pembeni, t shirt ya rangi bluu na viatu rangi nyeusi.
Mahali anapoishi na wazazi wake ni Njedengwa, Dodoma.
Amepotea kutokea tarehe 13 Dec 2021 alipotoka tuition eneo la Uhindini Dodoma mjini.
Yeyote atakayemuona tafadhali toa taarifa kituo chochote cha polisi kilicho jirani au piga simu namba
0683931774 au 0786826173
Naomba tusaidiane kusambaza katika maGroup mbalimbali ya mtandaoni.
Naambatanisha picha yake.
UPDATES
Nawashukuru nyote kwa ushirikiano wenu. Dogo amepatikana. Alipotoka tuition akaamua kwenda kuzurura na kushangaa ktk eneo ambalo wanatengeneza mwendo kasi. Jioni akajikuta amepotea akaomba hifadhi kwa mlinzi. Kesho yake mlinzi ndio akamsaidia kufika nyumbani.
Asanteni sana