Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,140 13,215 May 6, 2012 #1 ni kama ameambiwa tulia hapa nifanye mambo yangu.......................................
mpayukaji JF-Expert Member Oct 31, 2010 940 349 May 6, 2012 #2 Huu ni unyama wa aina yake. Sitaki hata kuangalia mara mbili.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,140 13,215 May 6, 2012 Thread starter #3 na usikute ndio amefikahapo majaliwa yake kwa ustawi wa jamii....miminaishi uswahilini naona jinsi watoto wadogo wanavyotelekeza watoto wenzao
na usikute ndio amefikahapo majaliwa yake kwa ustawi wa jamii....miminaishi uswahilini naona jinsi watoto wadogo wanavyotelekeza watoto wenzao
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,140 13,215 May 6, 2012 Thread starter #4 kuna yeyote anayemfahamu mzazi wa mtoto huyu?? (nataka nipitishe petition ya kutokuwa na imani naye)