AY na RIHANNA

\
Hizo porojo tu.
 
Huo ni uzushi. Rihana hajui kuwa kuna mziki aina ya Bongofleva.
 
<br />
<br />
unafananisha pafyumu na ushuzi..we kweli noma!ebu tuambie uyo dogo na nyimbo yake mbona atumsikii au ndio mambo ya promo
 
uzushi mtupu huu.............huh,tea mo tea mo nakupa fleva za slow mo
 
rihanna kumshitaki AY ni sawa na kumuua mende kwa kutumia nyundo.wimbo wa AY speaking with ya body nimeusikia vyema ni mzuri na kwaupande wangu AY kafanya vizuri.kuhusu kumuibia lyrics rihanna ni tuhuma zisizo na msingi maana ni neno "te amo" ndio limesound kama melody ya wimbo wa te amo wa rihanna,"te amo" means "i love u" sasa kama mtu anaweza kushtaki mwingine kwa kusema neno i love u ni lake atashtaki dunia nzima maana watu wengi sana hutumia hilo neno.rihanna aache makeke asimpe umaarufu wa bure AY.nimemaliza.
 
Hakuna tatizo hapo hata kidogo,Teamo-I Luv You kwani kwa ay kuchange language kwenda kispanish ndo kamuiga rihanna? je angeimba i luv you ,i luv you then cellin dion angemsue? Angeiba bar hata mo1 hapo kungekuwa na tatizo,ay usiogope hata ukimchukua mwanasheria wa mwaka wa kwanza wa ud unashinda kesi,mwache afungue utashinda tu kesi na kumfungulia yeye mashatka kwa kukudharirisha hapo ule mkwanja wake then ununue vogue/escalade/hummer na ununue nyumba ufukweni ule maisha.....
 
Mleta mada wivu tu umemjaa,ktk music ni vitu vya kawaida by the way katumia neno moja tu song zima,alafu huu wimbo umefanywa kwenye studio ya ukweli na producer wa ukweli kama ingekuwa so wangemshauri dogo toa hicho kipande kitakuletea shida sio unakurupuka unakuja jf cos unaaccess unaleta umbea wako,tunampongeza ay cos amethubutu na ipo cku atakuwa icon wa tanzania ktk music kimataifa
 
Kuna wimbo wimbo wake mwingine wa chopper style umeigwa
 
<br />
<br />

Lakini nyimbo yenyewe haina kichwa wala miguu pamoja na kurekodiwa marekani.
 
Nyimbo kama ni kali itajiuza tu publicity kama hii haitanyanyua wala nini
 
Prof jay aliimba "piga makofi" yearz after ikatoka "make it clap" ya buster nae angeshtaki? Kwanza kama ni kweli then Rihanna atampa AY umaarufu mkubwa sana while yeye atakuwa amejishusha...so it aint bad at all!!
hazina yako ya mziki ni ndogo,...dj quik aliimba clap your hands way back before AY hajui hata keyboard inafananaje..
 
kutumia vionjo vile sio kwamba ndio kuiba. mbona Ay alisha fanya sampling ya nyimbo kibao katika nyimbo zake na anazilipia.
inategemea alifanya sampling ya nyimbo zipi,..kama nyimbo zenyewe ni za msondo au kilwa jaz,unategemea alilipia shilingi ngapi?sijawahi kusikia sampling yoyote ya hits kama thong song au brenda's got a baby
 
<br />
<br />
 
<br />
<br />
kumbe na wewe mwita25 ni bongofleva..
 
Kwa kile ambacho nafahamu. Mtu anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria iwapo amenakili sehhemu ya kazi ya mtu mwingine bila ya idhini. Iwapo wewe ni msanii au hata mwandishi wa kitabu na ukanakili kazi ya msanii au mwandishi mwingine bila ya idhini yake,unaweza kuchukuliwa hatua. Kwa upande wa Ay yeye hajanakili kazi ya Rihanna kwa vyovyote vile kwa kuwa hakuna vionjo alivyochukua kwenye wimbo wa ''Te amo''. Isipokuwa ameimba maneno ambayo mwingine yeyote angeweza kuyaimba.
 
Ameimba kiswanglish cha kukatikakatika ila katikati akachomekea teeeammooo....teeeeammmmooo. Rihanna amekasirika sana na amesema sheria lazima ichukue mkong'oto wake wakati anahojiwa na BET.
naskia ww na rihanna unnauhusiano wa karibu sana!!!
 
hazina yako ya mziki ni ndogo,...dj quik aliimba clap your hands way back before AY hajui hata keyboard inafananaje..
<br />
<br />
Mi umeniuwa tu hapo kwnye ''hazina yako ya mziki ni ndogo'' hehehe!
 
Yaani wewe unasikiliza U head unakuja ku2tupia sisi.sasa kwa tarifa yako wewe mwenyewe Utaona Utamuuuuu!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…