Award Verification Number (AVN) updates

Ofisi zao zipo wapi? Physical Address.
 
Ivi naweza kuapply hata kama sijapata AVN? halafu baadae nikiipata ndio nije niiweke maana kesho ndio mwisho wa application halafu bado giza nene kupata AVN hadi sasa
Mkuu bila AVN hutaweza kuchaguliwa chuo
 
AVN INATUMIKA KWA MATUMIZI GANI WAKUU?????
 
Vyuo vingi wakati wa kufanya Application ni lazima uweke AVN bila hivyo huendelei na stage nyengine
Ivi naweza kuapply hata kama sijapata AVN? halafu baadae nikiipata ndio nije niiweke maana kesho ndio mwisho wa application halafu bado giza nene kupata AVN hadi sasa
 
Ni kweli,aende tu ofisi za NACTE atapata msaada haraka
 
Sasa kuna wengine wanaishi mbali na ofisi zao kuu hata za kanda.. So gharama yote hii nani ataweza.. Ni kuwapigia tu...
 
Duuuh, kweli mkuu we ushawahi kujaza/kuomba..?
Nilimuombea ndugu yangu na nikafata procedures zote had attachment Ila ikawa inasumbua ikabidi aende NACTE ndio Kuna number wakampa na ku update ndio akapata control number alivolipia ndio akapata hyo AVN. System yao mbovu na alipoenda kule kumbe NACTE ndio walikuwa hawaji update kwenye system yao
 
Daaah, hawa watu hawako serious na maisha ya vijana kabisa.
Sasa mkuu naamini una-experience katika hill, attachment ya cheti au transcription unascan ile original au copy yake ndo unawatumia..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…