Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,901
- Thread starter
- #61
Mtihan san!! Swal liko open kbs.. sema awamu ya tano kulikua na moja mbili tatu ndio maan watu hata kujenga walishindwa pia awamu ya sita ipo moja mbili tatu ndio maan watu wanajenga kila uchao!! Mbona simple? Mna nn nyie uvccm lkn?
Hapo ndio unakwama. Kudhani kila mtanzania ni CCM au chadema.
Au Mkristo au muislam.
Siku mkijua kuwa kuna zaidi ya uchama na udini ndio nchi Hii itaendelea